Naomba Kusaidiwa.. Hii ni Ibada ya Freemason Kweli?

Naomba Kusaidiwa.. Hii ni Ibada ya Freemason Kweli?

ha ha kumbe mtani wetu mm na kaka Bonny endelea kumtafuta bado tunamuhitaji asije akawa amepotea kwenye matambiko yao
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Uskute kuna mtu kamfungia huko
 
yaah iyo ni Ibada ya freemason,,miongoni mwa vitu muhim na lazima ni bendera 2 pale mbele na wahumini wake lazima wavae suti nyeusi,,shati jeupe na necktai nyeusi,,hao wengine ni waalikwa,,anayeongoza misa ana cheo cha Master Masoni yaani ana degree 3,,dgree za Masonic ni 33 na wanaomiliki izo km Tony Blair,,George Bush,Obama etc
We umejuaje ??..maana hiyo ni secret society .....!!!
 
Me naamini waliojiunga masonic wanatamani kujitoa sema tuwaombee tu maana duh pepo wasahau kabisa wata enjoy duniani tu
 
Back
Top Bottom