Waungwana Habari za wakati Huu!!
Naomba mwenye soft copies za vitabu vya Geography ambavyo vinatumika kwenye syllabus ya Tanzania na hasa vya O - Level anisaidie Mfano Human & Economical Geography na physical Geography vilivyoandikwa Msabila au vingine ambavyo viko relevant na hivyo.
Ambaye yupo tayari kunisaidia anijulishe hapa nimpe email yangu PM.
Natanguliza shukrani