Mr. BK
Member
- Aug 6, 2014
- 99
- 35
Waungwana Habari za wakati Huu!!
Naomba mwenye soft copies za vitabu vya Geography ambavyo vinatumika kwenye syllabus ya Tanzania na hasa vya O - Level anisaidie Mfano Human & Economical Geography na physical Geography vilivyoandikwa Msabila au vingine ambavyo viko relevant na hivyo.
Ambaye yupo tayari kunisaidia anijulishe hapa nimpe email yangu PM.
Natanguliza shukrani
Naomba mwenye soft copies za vitabu vya Geography ambavyo vinatumika kwenye syllabus ya Tanzania na hasa vya O - Level anisaidie Mfano Human & Economical Geography na physical Geography vilivyoandikwa Msabila au vingine ambavyo viko relevant na hivyo.
Ambaye yupo tayari kunisaidia anijulishe hapa nimpe email yangu PM.
Natanguliza shukrani