Naomba kutajiwa maeneo ya kula Bata Bunju na Mapinga!!

ODILI SAMALU

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2013
Posts
1,369
Reaction score
489
WanaJF mnaoishi maeneo ya Bunju na Mapinga weekend hii niko huku navinjari kidogo na kuondoa mawazo. Tatizo ni kuwa si mwenyeji wa huku hivyo naomba mnifahamishe viwanja vya kula bata na kujidai ili jioni hii nikajidai na Mimi

Karibuni
 
Mbona poa , ukipita mapinga , ukimaliza kilima kidogo upande wa kushoto kuna Marian boys , kidogo utakuta " Matako bar " upepo mwanana na kiti moto chenye utamu wa ajabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimefika kwenye Bar moja nzuri inaitwa DELIGHTONG nj nzuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…