Pesa za bure ni zile za mitandao ya simu tu, wao wakikwambia kuna mabilioni ya kugawa kwa Wateja huwa wanatuma kweli. Juzi nimepata sh 700 kutoka mpesa.
Pesa ya bure mtandaoni IPO nyingi tu iwapo utatoa kiingilio ama registration fees au mbegu.
Tatizo nyie hamtaki kutoa pesa ya kujisajili. Unategemea upate pesa bila kujisajili?