Naomba kuuliza au kupata msaada kutoka NMB ili kupata kadi yangu

Naomba kuuliza au kupata msaada kutoka NMB ili kupata kadi yangu

Mussa rapper

Member
Joined
Nov 17, 2018
Posts
10
Reaction score
4
Habari naomba kuuliza au kupata msaada kutoka NMB kadi kutoka wilaya moja hadi nyingine inachukua muda gani kufika na mnazisafirisha kwa njia ipi?

Nime-renew kadi nikaambiwa niende baada ya siku 10 nimeenda kadi imetumwa wilaya nyingine ni jumatano ya weeki iloisha nikaambiwa niijie ijumaa yani leo napo bado nafika ofisi ya tawi husika (Buhongwa) naambiwa bado kadi haijafika niende jumatano ya weeki ijayo ilihali kila siku natumia nauli kwenda na kurudi pasipo kujali umbali ninaokaa je ni halali?

Au kuna uzembe katika utendaji husika naomba kupata muongozo please
 
Habari naomba kuuliza au kupata msaada kutoka NMB kadi kutoka wilaya moja hadi nyingine inachukua muda gani kufika na mnazisafirisha kwa njia ipi?

Nime-renew kadi nikaambiwa niende baada ya siku 10 nimeenda kadi imetumwa wilaya nyingine ni jumatano ya weeki iloisha nikaambiwa niijie ijumaa yani leo napo bado nafika ofisi ya tawi husika (Buhongwa) naambiwa bado kadi haijafika niende jumatano ya weeki ijayo ilihali kila siku natumia nauli kwenda na kurudi pasipo kujali umbali ninaokaa je ni halali?

Au kuna uzembe katika utendaji husika naomba kupata muongozo please
Watu wa mikoani muwe wavumilivu, Tanzania ni Dar.

Cha msingi ukitaka pesa unachukuwa dirishani au kwenye app.
 
Huenda wamekuona mlugaluga flani hivi,me nimejaza form ya kurenew pale bank house jumamosi iliyopita,nimeenda juzi jumanne kadi iko tayari.
 
Huenda wamekuona mlugaluga flani hivi,me nimejaza form ya kurenew pale bank house jumamosi iliyopita,nimeenda juzi jumanne kadi iko tayari.
Tatizo ni huduma ya ofisi au tawi husika ndo panapokuwepo uzembe mkubwa.
 
Habari naomba kuuliza au kupata msaada kutoka NMB kadi kutoka wilaya moja hadi nyingine inachukua muda gani kufika na mnazisafirisha kwa njia ipi?

Nime-renew kadi nikaambiwa niende baada ya siku 10 nimeenda kadi imetumwa wilaya nyingine ni jumatano ya weeki iloisha nikaambiwa niijie ijumaa yani leo napo bado nafika ofisi ya tawi husika (Buhongwa) naambiwa bado kadi haijafika niende jumatano ya weeki ijayo ilihali kila siku natumia nauli kwenda na kurudi pasipo kujali umbali ninaokaa je ni halali?

Au kuna uzembe katika utendaji husika naomba kupata muongozo please
Mimi nimerenew kadi ya NMB ndani ya siku moja na kupata siku hiyohiyo na wala wala sio ya chapu chapu
 
Back
Top Bottom