Naomba kuuliza hivi Azam kuna mgomo?

Naomba kuuliza hivi Azam kuna mgomo?

Hawa kenge wa kijivu jana wamenichania mkeka mamamae zao kabisa.

Na Feisal huwezi kumlaumu kwasababu walau yeye alipoingia uhai fulani ulionekana. Mtu kama Akaminko anajifanya staa kucheza kama Zinedine shenzy zake, yule Msouth America naye anajinyea nyea tu. Ni heri Mzee Bakhresa awabadilishie majukumu wakakande maandazi kiwandani.
 
Back
Top Bottom