Naomba kuuliza hivi kuna uhusiano wowote ujauzito kumtesa mwanaume?

Naomba kuuliza hivi kuna uhusiano wowote ujauzito kumtesa mwanaume?

Wataalam wa mambo asili wanasema kama mmelala kitandani akakuruka au ukamruka basi hali yake inahamia kwako,utapona akishajifungua
 
Yap huwa inawapata wanaume wengi pindi wake zao wanapokuwa na ujauzito na ni syndrome ijulikanayo kama
COUVADE SYNDROME .
Haina shida mkuu itaondoka pale tu mkeo atakapojifungua so mpe support katika siku hizi ngumu anazopitia [emoji23][emoji23] uwe na siku njem.
EXACTLY
 
The condition is called "Couvade syndrome "bro, there is nothing to fear. Msapoti zaidi baby mama,we jishughulishe zaidi na ujauzito wake in all ways possible. Hongera mkuu kwa Kuwa baba.
 
Habarini za mida wana jf,

Mwenzenu nimekuwa katika hali ya mateso ya uchovu usioisha na mara nyingine kutapika kila asubuhi kwa muda mrefu sasa yapata miezi misita sasa na mke wangu mjamzito naugua lakini ninachougua hakijulikani.

Yan kuna muda huwa natema tema mate ovyo ovyo lakin mke wangu yeye yupo vzr tuuu wala hana shida

Nimefanya vipimo karibia vyote vya kitabibu lakini hakuna ugonjwa wowote ambao unaonekana mwilini.

Nimeenda mpaka kwa wataalamu wa tiba mbadala hadi kwenye maombi imeshindikana bado hiyo hali niko nayo mpaka inanifanya kutoweza kufanya kazi.

Sasa naomba kuuliza hivi kuna uhusiano wowote ujauzito kumtesa mwanaume?

Naomba mnisaidie.
Ndio. Uhusiano upo
 
Habarini za mida wana jf,

Mwenzenu nimekuwa katika hali ya mateso ya uchovu usioisha na mara nyingine kutapika kila asubuhi kwa muda mrefu sasa yapata miezi misita sasa na mke wangu mjamzito naugua lakini ninachougua hakijulikani.

Yan kuna muda huwa natema tema mate ovyo ovyo lakin mke wangu yeye yupo vzr tuuu wala hana shida

Nimefanya vipimo karibia vyote vya kitabibu lakini hakuna ugonjwa wowote ambao unaonekana mwilini.

Nimeenda mpaka kwa wataalamu wa tiba mbadala hadi kwenye maombi imeshindikana bado hiyo hali niko nayo mpaka inanifanya kutoweza kufanya kazi.

Sasa naomba kuuliza hivi kuna uhusiano wowote ujauzito kumtesa mwanaume?

Naomba mnisaidie.
Ndio uhusiano upo
 
Inakuwa inahusisha hormones sana sana unaweza kuipunguza au kuiondoa hiyo hali kwa kukaa mbali na mkeo yaani usilala naye kitanda kimoja wala kuwa naye karibu [emoji23] sasa kibongo bongo hii kitu haiwezekani na pia ki psychology unakuwa ni kama unamtenga huyo mwanamke so inakuwa kama unapunguza flani mapenzi cha msingi vumilia itaisha baada ya 9 months ila ukitaka iondoke risk KULALA NA KULA GUEST HOUSE [emoji23] [emoji23] Uwe na siku njema mkuu.
Nateseka sana jamam daaah
 
Yah,ilinisimbua sana,pia ni kipimo kama mtoto ni wako,kwa asilimia kadhaa
 
Back
Top Bottom