chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
upatu
Ni biashara ya kutafuta watu wajiunge chini yako ndo ulipwe commision
Mm nimebahatika kuwaona kwenye magroup ya whtsap wanavyo strago kutafuta watu si jambo rahisi
Round hii magu alivyo bana huwezi pata mtu wakumuingiza kwenye Scam naona unataka kuipa prome [emoji3][emoji3][emoji3]
kampuni ya fursa kwa watu fursa