upatu
Ni biashara ya kutafuta watu wajiunge chini yako ndo ulipwe commision
Mm nimebahatika kuwaona kwenye magroup ya whtsap wanavyo strago kutafuta watu si jambo rahisi
Round hii magu alivyo bana huwezi pata mtu wakumuingiza kwenye Scam naona unataka kuipa prome [emoji3][emoji3][emoji3]
Kama unamuda + pesa zakupoteza jiunge na hayo makampuni, yaani huwa nashangaa kijana wa kisasa hivi unakubalije kuingizwa mkenge na hao jamaa,Tupeni mrejesho kuhusu izi kampuni watu wengi wanasema ooh nimestaafu serikalini ili nitengeneze pesa nzuri katika maisha yangu.
Kama unamuda + pesa zakupoteza jiunge na hayo makampuni, yaani huwa nashangaa kijana wa kisasa hivi unakubalije kuingizwa mkenge na hao jamaa,
Huu muda vyuo vinafunguliwa ndo wanaanza kutafuta wajinga wakuwapiga pesa za boom ,kunalijama limoja limehitimu udsm lakini bado linazungukia maeneo ya chuo kutafuta watu.
Kweli bro, bora hiyo pesa unayowachangia ukanywe bia, au ufuge hata kuku au ufanye forex angalau unaweza fidia pesa yako.Ahsante mkuu kuna jamaa alikuja job akawapa watu semina aisee nimeamini tunataka vitu vizuri kwa haraka mwisho wa siku maumivu tu wanasema one million kila mtu analazimisha kumbe kuna scam wanazingua kweli
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kama unamuda + pesa zakupoteza jiunge na hayo makampuni, yaani huwa nashangaa kijana wa kisasa hivi unakubalije kuingizwa mkenge na hao jamaa,
Huu muda vyuo vinafunguliwa ndo wanaanza kutafuta wajinga wakuwapiga pesa za boom ,kunalijama limoja limehitimu udsm lakini bado linazungukia maeneo ya chuo kutafuta watu.
Aaaah na forever livingone million "Clap"
Two million "Clap Clap"
Three Million "Clap Clap Clap"
Two Million "Clap Clap"
One MIllion "Clap"
Ha ha ha ha wajanja Wameelewaπππππππππππ
iyo laki tano na stini bora ufanye shughuli nyingine hao jamaa hawana tofauti na matapeli wanakuvuta ukishaingia hawana habari na wewe utakutana nao wamevΓ a suti na story kibao sijui mwaka huu nanunua magari Mara nataka ninunue like gorofa na stories nyinginenyingine za uongouongo kunajamaa mwaka juzi walipofika Mwanza akaanza kunishawishi nijiunge nisichelewe Mara mwakani nanunua gari yaani mwaka Jana chaajabu Leo anakuja analialia anaomba mpaka sh.400 yanauliNatumaini wrote hamjambo. Mimi hapa leo naomba kuuliza kama kuna MTU mwenye kujua kampuni inayojitambulisha kama Alliance in motion na shughuli zake hapa Tanzania.