Under 18
Member
- Feb 28, 2019
- 27
- 35
Habar wadau.
Naomba kuuliza kwa mwenye uzoefu wa kuagiza vitu kwenye mitandao hasa ebay,namna gani wanafanya hadi kufanikiwa kuupata mzigo,njia ya kulipia,pa kwenda kuchukulia na kodi zake.
Maana kuna bidhaa nyingi sana naona zinapatikana kwa price nzuri tu.
Thanks in advance
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kuuliza kwa mwenye uzoefu wa kuagiza vitu kwenye mitandao hasa ebay,namna gani wanafanya hadi kufanikiwa kuupata mzigo,njia ya kulipia,pa kwenda kuchukulia na kodi zake.
Maana kuna bidhaa nyingi sana naona zinapatikana kwa price nzuri tu.
Thanks in advance
Sent using Jamii Forums mobile app