Ozzanne Issakwisa JF-Expert Member Joined Mar 7, 2016 Posts 288 Reaction score 241 Mar 10, 2016 #21 Mfalme Daudi said: Hivi Inafaa Kukaa Mda Gani Kwa Jirani Baada ya kula Ndio Uondoke Ili usionekane Ulifuata Msosi!??? Click to expand... Subiri mlo uliobaki mkuu.
Mfalme Daudi said: Hivi Inafaa Kukaa Mda Gani Kwa Jirani Baada ya kula Ndio Uondoke Ili usionekane Ulifuata Msosi!??? Click to expand... Subiri mlo uliobaki mkuu.
bowlibo JF-Expert Member Joined Dec 10, 2011 Posts 3,205 Reaction score 2,905 Mar 11, 2016 #22 laganalodge said: Ukiona chakula kimekaribia kuiva aaga , watakwambia subiri chakula ukimakiza kula tu una nawa unaondoka , hapo hautaonekana ulifuata msosi Click to expand... Wasipomkaribisha na wakamtakia safari njema.....kwake itakuwa njema kweli?
laganalodge said: Ukiona chakula kimekaribia kuiva aaga , watakwambia subiri chakula ukimakiza kula tu una nawa unaondoka , hapo hautaonekana ulifuata msosi Click to expand... Wasipomkaribisha na wakamtakia safari njema.....kwake itakuwa njema kweli?
laganalodge Senior Member Joined Jun 14, 2012 Posts 155 Reaction score 57 Mar 11, 2016 #23 Kaa nusu saa