OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Ok,mumo kwa mumo hosbitali!Huwa Hawatangazi Isipokuwa Ni Mumo Kwa Mumo Hospital
Soma hiyo au muulize mlozi Mshana JrWakuu habari
Leo nimeona Tangazo chuo cha Bugando wanatarajia kutoa mafunzo ya mortually attendant
Nauliza vipi upatikanaji wake wa ajira kwa anayefahamu atujuze
unamaanisha mii mkuuHuwa Hawatangazi Isipokuwa Ni Mumo Kwa Mumo Hospital
AhsanteAfya tunahitaji watu jasiri kama wewe mleta post. Usipokuwa na tamaa ya pesa na mwili itapendeza zaidi.
All the best our mortually attendant to be πππ
Aise huyo jamaa kuna siku ilitokea ajali sehemu flani akufa mtu mmoja ila yule mtu alikatikA kichwa kikatoka mazima watu wakatafuta kichwa bila mafanikio,huyo jamaa kaja kiwilwili kilitangulia kule mortuary.akatafuta nayeye kwajuhud akakipata kile kichwa akaweka kwenye kifungashio akapitia mgahawa akaagiza chai.bwana we yule mhudumu akamhoji umeweka nn humo yule jamaa si kamuonesha yule bint akazimia palepaleKuna jamaa angu mmoja yupo pale hospital ya tukuyu [emoji23][emoji23][emoji23] jamaa yupogo tungi muda wote na mayenu yake safi, mtafute akuambie alifanya usaili lini
huyo jamaa kavu sana π€£π€£π€£π€£π€£Aise huyo jamaa kuna siku ilitokea ajali sehemu flani akufa mtu mmoja ila yule mtu alikatikA kichwa kikatoka mazima watu wakatafuta kichwa bila mafanikio,huyo jamaa kaja kiwilwili kilitangulia kule mortuary.akatafuta nayeye kwajuhud akakipata kile kichwa akaweka kwenye kifungashio akapitia mgahawa akaagiza chai.bwana we yule mhudumu akamhoji umeweka nn humo yule jamaa si kamuonesha yule bint akazimia palepale
jamaa ana roho ngumu zaidi ya mwanajeshi.Aise huyo jamaa kuna siku ilitokea ajali sehemu flani akufa mtu mmoja ila yule mtu alikatikA kichwa kikatoka mazima watu wakatafuta kichwa bila mafanikio,huyo jamaa kaja kiwilwili kilitangulia kule mortuary.akatafuta nayeye kwajuhud akakipata kile kichwa akaweka kwenye kifungashio akapitia mgahawa akaagiza chai.bwana we yule mhudumu akamhoji umeweka nn humo yule jamaa si kamuonesha yule bint akazimia palepale