Naomba kuuliza vijana wenzangu kati ya kilimo na kubeti bora nini?

Naomba kuuliza vijana wenzangu kati ya kilimo na kubeti bora nini?

Kubeti sio kazi boss, hakuna kazi ambayo chanses za kutengeneza faida kulinganisha na mwenye kampuni kuchukua mtaji wako ni 90:10.

Kila unapokula unapata pesa yako + a certain % ya pesa yako. Kadri % inavyokuwa kubwa ndivyo ugumu wa kupata unavyoongezeka maradufu.

Ila ukipoteza unapoteza 100% ya ulichowekeza.
Hii unaiitaje biashara?
Sawa naomba tujadili upande wa kilimo unaona kilimo kina assured result boss?
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kaka naomba unifaamishe chimbo lako la kubeti [emoji23][emoji23][emoji23]
 
FB_IMG_16436356877919185.jpg
 
Mali ambayo mwisho wa siku unauza ili upate pesa kama za aliyebeti?
Hapa una point boss kilimo kina vitu vingi Mpango -Mtaji -Kuanza -Kusimamia- kuvuna -Kutafuta soko -kuuza then ndio kupata pesa halafu kwenye kubeti Kuna kuandaa mkeka -kuweka dau -kusubiri ushindi . Tatizo walio shikilia kilimo hawatoi hoja zenye mashiko yani kilimo ni zaidi ya kubeti kiukweli
 
Sio kilimo tu bali kila kitu duniani ni kamari
Yap, ila win to loose ratio ya mchezaji, kampuni na nchi ndo inayotofautisha betting ya kamari na betting ya uzalishaji.

Pesa za nchi ni zile zile tunabadilishana. Ww ukizipata kwa sababu ulibeti katika uchumi ni tofauti kabisa na aliyezipata kwa sababu alifyatua matofali.

Ukitaka kuona hili, hapo nyumbani kwako acheni kazi ya uzalishaji au huduma, chukua mtaji kazi yenu iwe kubeti tu.
 
Sawa naomba tujadili upande wa kilimo unaona kilimo kina assured result boss?
Hakuna biashara ambayo ni 100% ila unaweza minimize risk ikawa chini sana. Mfano kuna wakulima(Wachache sana)wana chanzo cha maji, wana wataalam, wana workforce halafu mazao yao yana insurace. Sasa hii ni ngumu sana kwa mazingira yetu ila kufanya kwa kiwango unachoweza ni salama zaidi kuliko kubeti.
 
Hakuna biashara ambayo ni 100% ila unaweza minimize risk ikawa chini sana. Mfano kuna wakulima(Wachache sana)wana chanzo cha maji, wana wataalam, wana workforce halafu mazao yao yana insurace. Sasa hii ni ngumu sana kwa mazingira yetu ila kufanya kwa kiwango unachoweza ni salama zaidi kuliko kubeti.
Sawa Boss mfano una 150,000/= ambayo ukiwekeza kwenye kilimo mfano cha Alizeti inategemea kuleta faida ya shilingi 1,200,000/= Baada ya miezi miwili yani siku 90 na ukichukua hiyo 150,000/= ukagawanya kwa mikeka ya buku unapata mikeka 150 kama ni mzuri wa kubeti ndani ya siku 90 kwa idadi hiyo ya mikeka inaweza tengeneza zaidi ya 1,200,000/= bila maji, usimamizi, masoko, mbolea ,mbegu Rasilimali watu n.k
 
Sawa Boss mfano una 150,000/= ambayo ukiwekeza kwenye kilimo mfano cha Alizeti inategemea kuleta faida ya shilingi 1,200,000/= Baada ya miezi miwili yani siku 90 na ukichukua hiyo 150,000/= ukagawanya kwa mikeka ya buku unapata mikeka 150 kama ni mzuri wa kubeti ndani ya siku 90 kwa idadi hiyo ya mikeka inaweza tengeneza zaidi ya 1,200,000/= bila maji, usimamizi, masoko, mbolea ,mbegu Rasilimali watu n.k
Mbona kama unapiga hesabu za matikiti [emoji3]

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Ukielewa maana ya Ku-beti utakuwa umeshajipa jibu...

Kubet ni kubahatisha haijalishi unalima, unafanya biashara au chochote kile..., kama unakifanya kwa kubahatisha hakuna cha nafuu hapo....

Jaribu kufanya vitu vya uhakika au ambavyo Odds are not Stuck Against you..., Huwezi ukalima kwa kutegemea mvua ambazo hazitabiriki wala wateja hujui kama mwaka kesho watakuwepo au bei zitashuka bila kuwa na plan 'B' ya Storage....
 
Ukielewa maana ya Ku-beti utakuwa umeshajipa jibu...

Kubet ni kubahatisha haijalishi unalima, unafanya biashara au chochote kile..., kama unakifanya kwa kubahatisha hakuna cha nafuu hapo....

Jaribu kufanya vitu vya uhakika au ambavyo Odds are not Stuck Against you..., Huwezi ukalima kwa kutegemea mvua ambazo hazitabiriki wala wateja hujui kama mwaka kesho watakuwepo au bei zitashuka bila kuwa na plan 'B' ya Storage....
This has a lot of sense ila nivyema kwa faida ya wengi ukatoa na mfano tufanye nini ambacho odds huwa haziwi against us mkuu.
 
This has a lot of sense ila nivyema kwa faida ya wengi ukatoa na mfano tufanye nini ambacho odds huwa haziwi against us mkuu.
Kama unategema mvua ambazo hazitabiriki (odds are stuck against you) unless unamwagilizia au kuna vyanzo vya maji karibu...

Kama unategemea soko ambalo halina uhakika yaani wenzako wasilime au mavuno yakiwa mengi unakosa soko (hauna soko la uhakika) the odds are stuck are against you
 
Sawa Boss mfano una 150,000/= ambayo ukiwekeza kwenye kilimo mfano cha Alizeti inategemea kuleta faida ya shilingi 1,200,000/= Baada ya miezi miwili yani siku 90 na ukichukua hiyo 150,000/= ukagawanya kwa mikeka ya buku unapata mikeka 150 kama ni mzuri wa kubeti ndani ya siku 90 kwa idadi hiyo ya mikeka inaweza tengeneza zaidi ya 1,200,000/= bila maji, usimamizi, masoko, mbolea ,mbegu Rasilimali watu n.k
Haiwezekani. In 90 days, laki na nusu itakuwa imeisha.
 
Back
Top Bottom