Naomba kuuliza vijana wenzangu kati ya kilimo na kubeti bora nini?

Naomba kuuliza vijana wenzangu kati ya kilimo na kubeti bora nini?

Biashara yoyote ni kubeti. Kilimo pia ni kubeti. Ila kubeti inatakiwa uwe na umakini katika kuchambua mechi, na kuchagua bet za kuweka. Na uwe na subira. Usiwe na papara za kuweka mkeka mmoja mreeefu mpaka miguuni ukitegemea kutia jero ule milioni 200.

Nenda hatua kwa hatua. Betia mtandaoni. Mechi moja tu kila siku. Hela usitoe. Baada ya mwezi utayaona matunda.
Wana wakubet wanapaswa wahifadhi comment yako hii mkuu
 
Inamaana kila heka ulipata vinjunga 39? Unalima wapi huko? Alafu gunia la mpunga halijawahi kufika hiyo bei.
Oya eh msichukulie pw kilimo...june mwaka jana nmeuza kiroba(mpunga kg 90) 190k...

Halafu chaka nlitoka na vinjunga kama 195 hivi halafu nililima ekari 5 tu....na saiz nko chaka kama kawa
 
Inamaana kila heka ulipata vinjunga 39? Unalima wapi huko? Alafu gunia la mpunga halijawahi kufika hiyo bei.
Mkuu usijivishe ujuaji bado hujajua vyote kwenye hii nchi...
Njoo mbarali ubaruku ununue mwendambio saiz halafu utakubali..nyang`au
 
Inamaana kila heka ulipata vinjunga 39? Unalima wapi huko? Alafu gunia la mpunga halijawahi kufika hiyo bei.
Halafu unakurupuka kusoma,.nimekwambia hbka 1 kulima ni 1.5mil..

Hapo pana mifuko 4 ya mbolea,halafu mbegu ni saro...mwekezaj shirikani anakutole njunga mpaka 45-48..

WEKEZA KWENYE KILIMO MKUU NI BIASHARA SIKU HIZI
 
Inamaana kila heka ulipata vinjunga 39? Unalima wapi huko? Alafu gunia la mpunga halijawahi kufika hiyo bei.
Halafu unakurupuka kusoma,.nimekwambia hbka 1 kulima ni 1.5mil..

Hapo pana mifuko 4 ya mbolea,halafu mbegu ni saro...mwekezaj shirikani anakutole njunga mpaka 45-48..

WEKEZA KWENYE KILIMO MKUU NI BIASHARA SIKU HIZI
 
Njunga ndio kiroba? Na kinakuwa kina debe ngapi? Gunia 45 kwa heka aaah jamaa acha uongo basi
Halafu unakurupuka kusoma,.nimekwambia hbka 1 kulima ni 1.5mil..

Hapo pana mifuko 4 ya mbolea,halafu mbegu ni saro...mwekezaj shirikani anakutole njunga mpaka 45-48..

WEKEZA KWENYE KILIMO MKUU NI BIASHARA SIKU HIZI
 
Kubeti ni upuuzi. I would never advise anybody to bet not even a single day.
Kamanda binafsi sibeti but ukisema kubeti ni upuuzi hpo utakuwa umekosea sana....kuna watu wanaendesha sehm ya maisha yao kwenye kubeti.....kiufupi kubeti ni mchezo Kama michezo mingne like playing pool table ,draft games and other games related...mila mtu anaendsha maisha yake kwa namna yy anavyoona japo kubeti ni mchezo hatari
 
Kamanda binafsi sibeti but ukisema kubeti ni upuuzi hpo utakuwa umekosea sana....kuna watu wanaendesha sehm ya maisha yao kwenye kubeti.....kiufupi kubeti ni mchezo Kama michezo mingne like playing pool table ,draft games and other games related...mila mtu anaendsha maisha yake kwa namna yy anavyoona japo kubeti ni mchezo hatari
Good kama Kuna watu wanafanikisha kupitia betting lkn binafsi siwezi shauri mtu abeti mkuu.
 
Njunga ndio kiroba? Na kinakuwa kina debe ngapi? Gunia 45 kwa heka aaah jamaa acha uongo basi
Unaishi wap kwan?
Isije kuwa upo dar halafu unaleta majuaji..

Huko morogoro,ifakara,mwanza ndio wanalima kimazoea,njoo huku tukufundishe kilimo ukahadithie na wenzio
 
Mwaka Jana June? 2022?? Bei ya mpunga kwa gunia ilikua 190,000??? Kawaongopee watu wajinga tu

Hata mwaka huu tunalia bei ya mchele imepanda lakini gunia la mpunga halijafika 190000

Tanzania hii bei ya gunia la mpunga halijawahi kufika 190,000. Wacha kabisa huo uongo wako. Labda useme gunia la mchele
Inafika chief ukikoboa Tena na zaidi mbona ,naifanya hii bizness naongea nachokijua
 
Inategemea na mtaji. Kubeti mtaji wake unaanzia 500. Kilimo ngalau cha bustani bila kuanzia 100,000 hutoboi
 
Kilimo cha kutegemea mvua na kubeti havina tofauti
 
Back
Top Bottom