Kingkorlar
JF-Expert Member
- Oct 16, 2018
- 875
- 995
Habari ndugu
Kama kichwa cha uzi kinavyo jieleza mimi ni kijana wa miaka 18 ila tangu nizaliwe sijawahi kumtongoza binti wa lika lolote lile ila juzi nilijaribu kwa binti mmoja jina....... nalihfadhi sijui kama nilikua sawa au nilikosea mambo yalikua kama ifuatavyo
Me...mambo!
Binti...saf mzima?
Me...mzima unaelekea wap?
Binti...church
Me...church unaenda kuswali?
Binti...naenda kuimba kwaya.
Me...kumbe na wewe unaimbaga kwaya?
Binti...yah!
Me...ukitoka kuimba kwaya utapita hapa nyumbani?
Binti...kufanya nin?
Me...nikulale?
Binti...ushindwe ktk jina la Yesu
Jamani vp itakua nilikua sawa au nimepotea naombe ushauri na maufundi
Kama kichwa cha uzi kinavyo jieleza mimi ni kijana wa miaka 18 ila tangu nizaliwe sijawahi kumtongoza binti wa lika lolote lile ila juzi nilijaribu kwa binti mmoja jina....... nalihfadhi sijui kama nilikua sawa au nilikosea mambo yalikua kama ifuatavyo
Me...mambo!
Binti...saf mzima?
Me...mzima unaelekea wap?
Binti...church
Me...church unaenda kuswali?
Binti...naenda kuimba kwaya.
Me...kumbe na wewe unaimbaga kwaya?
Binti...yah!
Me...ukitoka kuimba kwaya utapita hapa nyumbani?
Binti...kufanya nin?
Me...nikulale?
Binti...ushindwe ktk jina la Yesu
Jamani vp itakua nilikua sawa au nimepotea naombe ushauri na maufundi