NILHAM RASHED
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 1,622
- 43
jamani??? imekuwa hivi mbona???
humjui Nilham wewe? Ila ana upinzani mkali ktk kuwania namba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
humjui Nilham wewe? Ila ana upinzani mkali ktk kuwania namba
Hata mimi nipo kwenye mchakato kaka ila sijui ......
Nilham.Tegemea Mariaroza kuchelewa kujibu Merry Christmas uliyomtakia.Leo yuko busy anafungua maboksi yenye zawadi tele toka kwa baba na mama Santa Claus.ha
ina maana JF ina mabachala wengi hivi, au wazinguaji tu?
tupo wengi sana:hungry:
shemeji....Nilham huyo hapo juu....shauri yako.....(halafu jana mbona ukaingia mitini hukuja tena pale kiwanja)
shemeji....Nilham huyo hapo juu....shauri yako.....(halafu jana mbona ukaingia mitini hukuja tena pale kiwanja)
ooooops sorry i ment wapo wengi sana l.o.l
preta kiwanja ni nini???
ni kiwanja cha nyumba Nilham.....Hashy anataka kukufanyia suprise ya bangaloo bibie
:ranger::
nisamehe bure nimetoa siri....imebidi ili kuweka utulivu yakinifu
ni kiwanja cha nyumba Nilham.....Hashy anataka kukufanyia suprise ya bangaloo bibie
:A S-alert1:ooooops sorry i ment wapo wengi sana l.o.l
kina nani wako wengi sana?????
:A S-alert1:
wale ambao hawaja oa....mimi tayari nina nilham wewe je?