Naomba kwa wenye ushuhuda wa mbolea aina ya Super Grow

Naomba kwa wenye ushuhuda wa mbolea aina ya Super Grow

Sawa Mkuu mbolea gani nzuri ya kukuzia kwenye mazao kama Mpunga Au maharage
Mpunga sifahamu.
Maharage jamaa yangu alikuwa anatumia hizo hizo.(labda nikuulizie anazitumiaje)
Kikubwa usizidishe, ukizidisha mimiea inakuwa very green na imechanua sana matokeo yake mauwa yanakuwa ni machache na chakula kinachotengenezwa hakiendi kwenye matunda ili yawe makubwa, badala yake kinatumika na mmea kwa ujumla.
 
Mpunga sifahamu.
Maharage jamaa yangu alikuwa anatumia hizo hizo.(labda nikuulizie anazitumiaje)
Kikubwa usizidishe, ukizidisha mimiea inakuwa very green na imechanua sana matokeo yake mauwa yanakuwa ni machache na chakula kinachotengenezwa hakiendi kwenye matunda ili yawe makubwa, badala yake kinatumika na mmea kwa ujumla.
Sawa Mkuu Hapo nimepata somo
 
Kitu inafanya hiyo super gro ni kuslow down process ya early maturity Kwa mimea na kuyapa greenish color tu majani ila usije jindaganya kutoweka mbolea muhimu Kwa hiyo mimea hii inafaa Kwa kilimo Cha kipindi Cha kiangazi
 
Kitu inafanya hiyo super gro ni kuslow down process ya early maturity Kwa mimea na kuyapa greenish color tu majani ila usije jindaganya kutoweka mbolea muhimu Kwa hiyo mimea hii inafaa Kwa kilimo Cha kipindi Cha kiangazi
Ooooh okay Hapo umenifahamisha vizuri
 
Back
Top Bottom