ts an agreement btn seller and buyer
makubaliano ya kibiashara,mfano umeenda dukani kununua kiatu muuzaji akakuambia tsh 100000/-wewe ukamwambia nakupa 75000/-mkavutanavutana akakuambia bas lete 85000/-we nae ukabana ukamwambia nakupa 80000/-muuzaji akakuambia basi lete 83000/-na ww ukamwambia nakupa 82000/-nibaki na buku la nauli,muuzaji akakubali hiyo inaitwa compromise yaani we are argued for a long time but finally arrived at a compromise