1Afica54
Senior Member
- Feb 15, 2025
- 115
- 68
Habari za mda huu ndugu wapambanaji wenzangu
Naomba maelekezo kwa anae jua namna nzuri ya kilimo Cha tangawizi
1,hali ya hewani
2,aina nzuri ya mbegu
3, jinsi ya kuandaa mbegu au upatikanaji wa mbegu nzuri
4, je zao la tangawizi linachukua mda gani shambani mpaka kuvunwa
5,jinsi ya kuvuna na uhifadhi wake na inachukua mda gani tangawizi kukaa store
6, mwisho 🙏 soko la tangawizi lipoje bei na msimu mzuri wa tangawizi
Naomba maelekezo kwa anae jua namna nzuri ya kilimo Cha tangawizi
1,hali ya hewani
2,aina nzuri ya mbegu
3, jinsi ya kuandaa mbegu au upatikanaji wa mbegu nzuri
4, je zao la tangawizi linachukua mda gani shambani mpaka kuvunwa
5,jinsi ya kuvuna na uhifadhi wake na inachukua mda gani tangawizi kukaa store
6, mwisho 🙏 soko la tangawizi lipoje bei na msimu mzuri wa tangawizi