mtumiaji
Senior Member
- Apr 6, 2013
- 112
- 32
wakuu humu jamvini
naomba mnisaidie.
mimi nipo Tanga na nataka ninunue bidhaa ebay.
je nitaletewa kwa njia ya posta katika adress ninayoandika ya hapa tanga au mpaka dar?
na je nitajuaje kama natakiwa kulipia hicho kitu kodi?
wakuu msaada.
natanguliza shukrani.
naomba mnisaidie.
mimi nipo Tanga na nataka ninunue bidhaa ebay.
je nitaletewa kwa njia ya posta katika adress ninayoandika ya hapa tanga au mpaka dar?
na je nitajuaje kama natakiwa kulipia hicho kitu kodi?
wakuu msaada.
natanguliza shukrani.