Naomba maelezo kwa anaefaham

Naomba maelezo kwa anaefaham

Fredrik

Member
Joined
May 22, 2013
Posts
7
Reaction score
0
Habar zenu?Naomba kujuzwa na wale ambao walifanya mitihan ya kdato cha 6 kama Private Candidate(PC)2012 na wanatarajia kuingia vyuon mwaka huu,Je! Kuna ambaye amepatiwa mkopo na HELSB?Mana kuna tetes kuwa watahiniwa ambao ni PC hawatapewa loans.Naomba kujuzwa
 
Kwani bodi ya mikopo imeshatoa orodha ya waliopata mkopo kwa mwaka huu?
 
Habar zenu?Naomba kujuzwa na wale ambao walifanya mitihan ya kdato cha 6 kama Private Candidate(PC)2012 na wanatarajia kuingia vyuon mwaka huu,Je! Kuna ambaye amepatiwa mkopo na HELSB?Mana kuna tetes kuwa watahiniwa ambao ni PC hawatapewa loans.Naomba kujuzwa

Wapo wengi tu waliofanya mtihani kama pc na wamepata mkopo tena wengine hadi kwa 80%. mwaka huu hadi watu wa diploma walioomba kusoma bachelor wameruhusiwa kuomba mkono. ondoa shaka kuhusu mkopo kikubwa utimize masharti mengine ya bodi.
 
Back
Top Bottom