Naomba maelezo mafupi kuhusu viagra

Naomba maelezo mafupi kuhusu viagra

duuuh! mkuu umenichekesha sana, tafuta pharmacy yenye mshikaji wa kiume... utanunua bila shida.
au unaandika kwene kikaratasi ukifika unampa kikaratasi tu, anakwambia bei... unalipa unapewa mzigo unasepa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jana usiku nilikua na show ambayo ilihitaji reinforcement maana nilikua nataka kuacha legacy, Nilizunguka pharmacy zote nakuta madingi wa age ya 50's na mamaza wakubwa tu.

Aiseeh niliondoka kapa nikaenda kupiga show kibabe tu, nikanywa maji mengi na show ikaenda vizuri ingawa sikuacha legacy niliyoitarajia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla hujaanza kutafuta hayo madawa ya kizungu jaribu kula za mizizi (tiba za dawa asili + lishe tiba)..

Sent from the Ottoman Empire Servers [emoji273] Instanbul...
Hata hizi baadhi, wanazuga wanatuchanganyia na izi izi za viwandani inabidi kuwa makini hasa izi supu za mitaani.

Kikubwa tupate ushauri wa kitaalamu, tule vizuri(vitu vya asili kama ulivoandika), tufanye mazoezi, tujenge afya ya kimwil na kiakili, hatutakuwa wateja wa izi mambo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu bhana wanachangaza hv kma ww unajua unagame wkendi, kuanzia j3 anza preps piga matizi, asbh kunywa supus, karanga kwa wingi,matunda na maji ya kutosha.wkend ikifika unakamua show ya kibabe uwe na kitambaa pemben tu bhs[emoji97].

Kwa madem yy akikua wkend mnatoka kwa kwich huw wanajiandaaa vya kutosha ndomana utakuta hadi vuzi kanyoaa, usitegemee kuperform show kma upo upo tu matokeo ake ndo hayo mnakimbliaa viagra tu!!wanaume tubadilike.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Jana usiku nilikua na show ambayo ilihitaji reinforcement maana nilikua nataka kuacha legacy..
Nilizunguka pharmacy zote nakuta madingi wa age ya 50's na mamaza wakubwa tu..

Aiseeh niliondoka kapa nikaenda kupiga show kibabe tu...nikanywa maji mengi na show ikaenda vizuri ingawa sikuacha legacy niliyoitarajia

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana mkuu, na usiwaze tena siku nyingine kutafuta izo mambo, we jiandae kisaikolojia tu, kama mtoto wa kiume fanya mazoezi mepesi kila wakati kuimarisha pumzi na mzunguko wa damu.

Fanya mazoezi mepesi ya kuimarisha misuli ya dushe, ambayo unaweza fanya ukiwa umekaa, umelala, unakula, yaan every where, kuna nyuzi nyingi sana humu, zinazungumzia aina za ayo mazoezi.

Kila la heri mkuu na asante kwa kuweka heshima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilidhani msukumo wa damu ukiongezwa pressure inapanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani pressure kuna ya kupanda na kushuka? sasa kitaalamu hapo ni ipi?? au inategemea na aina ya pressure vile mtu anayo
Ndio kuna pressure ya kupanda (hypertension) na ya kushuka (hypotension)

Kimsingi hizi dawa (Sildenafil na Tadalafil) zilitengenezwa kwa lengo la kutibu pressure ya kupanda ila sasa ikaonekana zina side effect ya kuongeza nguvu za kiume na ndio ikabidi ziwe modified kutumika kwa lengo hilo

Hizi dawa huwa zinalainisha mishipa ya laini (Vasodilation ) zinapunguza peripheral vascular resistance na hivyo kupunguza pressure ndio maana mtu mwenye pressure ya kushuka hashauriwi kutumia hizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio kuna pressure ya kupanda (hypertension) na ya kushuka (hypotension)

Kimsingi hizi dawa (Sildenafil na Tadalafil) zilitengenezwa kwa lengo la kutibu pressure ya kupanda ila sasa ikaonekana zina side effect ya kuongeza nguvu za kiume na ndio ikabidi ziwe modified kutumika kwa lengo hilo

Hizi dawa huwa zinalainisha mishipa ya laini (Vasodilation ) zinapunguza peripheral vascular resistance na hivyo kupunguza pressure ndio maana mtu mwenye pressure ya kushuka hashauriwi kutumia hizi

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu. kumbe hazitufai sisi wa ya kushuka, nisjekushuka mazima halafu ndiyo vile wasikia jamaa alifia guest dah noma.
 
Back
Top Bottom