Jana usiku nilikua na show ambayo ilihitaji reinforcement maana nilikua nataka kuacha legacy, Nilizunguka pharmacy zote nakuta madingi wa age ya 50's na mamaza wakubwa tu.duuuh! mkuu umenichekesha sana, tafuta pharmacy yenye mshikaji wa kiume... utanunua bila shida.
au unaandika kwene kikaratasi ukifika unampa kikaratasi tu, anakwambia bei... unalipa unapewa mzigo unasepa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hizi baadhi, wanazuga wanatuchanganyia na izi izi za viwandani inabidi kuwa makini hasa izi supu za mitaani.Kabla hujaanza kutafuta hayo madawa ya kizungu jaribu kula za mizizi (tiba za dawa asili + lishe tiba)..
Sent from the Ottoman Empire Servers [emoji273] Instanbul...
Hakuna kazi nzito kama kwenda duka la madawa kununua viagra...unaweza kuzunguka mji mzima unayapita maduka lakini hununui
Sent using Jamii Forums mobile app
Una pepo la mgono?Wakuu, heri ya mwaka mpya 2019
Kwa yeyote mwenye ufahamu kuhusu "Viagra" naomba anisaidie kwa kunipatia maelezo yake mafupi. Matumizi yake, faida na hasara zake pamoja na zinakopatikana.
Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana mkuu, na usiwaze tena siku nyingine kutafuta izo mambo, we jiandae kisaikolojia tu, kama mtoto wa kiume fanya mazoezi mepesi kila wakati kuimarisha pumzi na mzunguko wa damu.Jana usiku nilikua na show ambayo ilihitaji reinforcement maana nilikua nataka kuacha legacy..
Nilizunguka pharmacy zote nakuta madingi wa age ya 50's na mamaza wakubwa tu..
Aiseeh niliondoka kapa nikaenda kupiga show kibabe tu...nikanywa maji mengi na show ikaenda vizuri ingawa sikuacha legacy niliyoitarajia
Sent using Jamii Forums mobile app
Mizizi gani sasaKabla hujaanza kutafuta hayo madawa ya kizungu jaribu kula za mizizi (tiba za dawa asili + lishe tiba)..
Sent from the Ottoman Empire Servers [emoji273] Instanbul...
HATARI SANA MTAANI HUKU...
Ndio kuna pressure ya kupanda (hypertension) na ya kushuka (hypotension)Kwani pressure kuna ya kupanda na kushuka? sasa kitaalamu hapo ni ipi?? au inategemea na aina ya pressure vile mtu anayo
Asante mkuu. kumbe hazitufai sisi wa ya kushuka, nisjekushuka mazima halafu ndiyo vile wasikia jamaa alifia guest dah noma.Ndio kuna pressure ya kupanda (hypertension) na ya kushuka (hypotension)
Kimsingi hizi dawa (Sildenafil na Tadalafil) zilitengenezwa kwa lengo la kutibu pressure ya kupanda ila sasa ikaonekana zina side effect ya kuongeza nguvu za kiume na ndio ikabidi ziwe modified kutumika kwa lengo hilo
Hizi dawa huwa zinalainisha mishipa ya laini (Vasodilation ) zinapunguza peripheral vascular resistance na hivyo kupunguza pressure ndio maana mtu mwenye pressure ya kushuka hashauriwi kutumia hizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Afu wanasema alikufa baada ya kugegeda masaa 24 teh teh.asante mkuu. kumbe hazitufai sisi wa ya kushuka...nisjekushuka mazima halafu ndiyo vile wasikia jamaa alifia guest dah noma
Zipo dawa za asili nyingi sana. Tafuta wataalamu wa tiba za mitishamba...
Ok
ππππππ