Naomba maelezo mafupi kuhusu viagra

Viagra causes peripheral vasodilatation which lowers pressure!!! How presha inaongezeka mkuu, sijakupata vzur hapa coz what I know is that Viagra n mbaya kwa wale mwenye presha ya kushuka yaan hypotension cause it makes hypotension worse ndio MTU anakufa, au pharmacology niliielewa vibaya hapa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Good! Ila hajui zinauzwa wapi akanunue hata za milioni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
duuuh! mkuu umenichekesha sana, tafuta pharmacy yenye mshikaji wa kiume... utanunua bila shida.
au unaandika kwene kikaratasi ukifika unampa kikaratasi tu, anakwambia bei... unalipa unapewa mzigo unasepa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha, kumbe!! ndiyo maana huwa tunawaona vijana wa kme huulizia bei za panado kisha wanapotea, uoga huo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu nimekupata
 
Binafsi huwa natumia erecto..ila natumia mala moja moja na nakuwa na sababu..na natumia gm 50 mana gm 100 unaamka kichwa kinakuuma..sitasahau siku nimekunywa 100 gm halafu demu kaja gafla kaanza kubreed.

Sitasahau kilichotokea na alikuja saa tano za usiku ili alale..sikuumwa ila nilipata tabu sana mzigo ulikuwa unasimama kila mala.. Hizi dawa sio nzuri kutumia kila mala watu wanakufa..mkuu kama hujawai anza na 50 gm huwa haizingui sana..ila tumia mala moja moja na uwe na sababu lakini.kwa miezi minne mala moja sio mbaya..byee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasaidia tu kusimamiaha mshedede usilale hasa kama ww kuingiza hadi uishikilie. Kwani ww una tatizo hilo?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Uwe unatumia tadalafil kama mplify, saheal hazinaga ayo mambo hata appointment ikivunjika, utapata shida ya kawaida kama zilivo hisia za kawaida ukiwa umemiss kugegeda, ila pole mkuu, kama ni first lady ungegeda ivo ivo labda kama alikuwa ana maumivu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani pressure kuna ya kupanda na kushuka? sasa kitaalamu hapo ni ipi?? au inategemea na aina ya pressure vile mtu anayo
Yes kuna ya kupanda hypertension na ya kushuka hypontesion hizo dawa zinashusha sana peressure kiasi unaweza jisikia kizungunguz maumivi ya kichwa hata kufariki endapo utazidisha dose tu. zikipandisha pressure dudu haiwezi simama watu huwa wanazani pressure ikipanda dudu ndio inakuwa na nguvu kumbe sio presha ikishuka ndio ateri zinarelax damu ina flow vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…