Naomba maelezo mafupi kuhusu viagra

Hahahahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa jinsi ulivyomalizia we utakuwa dr mzuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanza kuna dawa zipo kama glucose kwenye pakti nimezisahau jina zinatoka Kenya hazina madhara kbsa, unakunywa na maji lita1 htr utagegeda mpka papuchi inukie baruti tena kwa style ya Bondage

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha uongo mjomba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Maji mengi yanasaidia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unakula Viagra mwisho wa siku demu hatokei hapo ndio utajuwa CHAPUTA ni chama gani cha siasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu niliwahi kula njoy 50g demu alikuwepo ninae ila alinicheleweshea mzingo, kila nikitaka naambiwa nitulie kwanza yeye yupo tu ntapewa yote sio muda hadi nikakata tamaa(sijuagi kulazimisha) mtandao unasoma 4G nmekuja kupewa yamepita masaa matano, mbona nilijuta maana dushelele lilikua dede bila ruhusa yangu.
 
hapana mkuu, inashusha pressure kwa kuongeza diameter ya mishipa ya damu, mechanism ya kusaidia mdau kuwa nyuzi tisini ni kwamba inadilate mishipa ya damu inayopeleka damu kule na kufanya nyingi iflow kuingia huko.. na ukiwa sexual stimulated damu ikiingia kule huwa inazuiliwa kutoka, ko kitu kinakuwa nyuzi 90 hadi 170 mda wote.

Zenyewe zinashusha pressure ko ni contraindicated kwa wenye hypotension sio hypertension, huwa inatumika pia kutibu watu wenye shida ya hypertension.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmh! viagra zinapandisha presha au zinashusha presha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…