KatetiMQ
JF-Expert Member
- Sep 25, 2022
- 249
- 506
Habari wana jamvi kiukweli sielewi ni nini hasa kinaendelea lakini nikiwa kama Mtanzania nahitaji kufahamu juu ya jambo hili hasa kwa wenye ufahamu
Ikiwa raisi wa Zanzibar ni Wazanzibar na raisi wa Tanzania anaweza toka Tanganyika au Zanzibar
Rais wa Tanganyika ni nani? Na ikulu yake ipo wapi?
Ikiwa raisi wa Zanzibar ni Wazanzibar na raisi wa Tanzania anaweza toka Tanganyika au Zanzibar
Rais wa Tanganyika ni nani? Na ikulu yake ipo wapi?