Hello...nlikuwa nauliza mimba ya wiki 2 inaweza kuonekana kwenye ultrasound? Maana nataka nijue kama imetunga mahari panapostahili maana nyngne zote za nyuma ziliharibika ya kwanza sikupima ultrasound na ya pili nlipima ikawa brighted ovum sasa hii nataka nione mapema maana nyonga ya kulia inaniuma sana je nkawaida kwa mimba changa au ni tatizo ...naomba mnijibu mwenzenu.