Mfumo imara ni muunganiko wa watu, rasilimali, sera na sheria tofautitofauti wanaofanya kazi kwa umoja na uhuru ili kufikia lengo la taasisi husika kwa ufanisi na weledi wa hali ya juu; kama tulivyoona katika kipindi cha Rais bora wa nchi yetu, Hayati Dr. JPM.
Hovyoo...!!
Jiwe hajawahi kua na mfumo imala.
Badala yake.alikua anafanya mambo anavyota.
Nakumbuka zama za kizazi kile kabla ya watu hasa watanzania kwenye sehemu zao za kazi akiingua meneja au mkurugenzi watu wanatetemeka.
Tofauti na sasa watu wanasomea uongozi wanajua haki na wajibu wa kila mmoja ktk sehemu yake ya kazi kwenye ofice yake.
H.R.
Atampa mkataba mfanyakazi kuanzia muda wa kuingia kazini ,muda wa kula,muda wa kufunga kazi na hata mavazi.
Na ili mtu asizalilishwe kwenye ofisi yake kwa kufokewa kama alivyokua anafanya jiwe kwa wasaidizi wake sheria(mfumo imara wa H.R) Unambana mfanyakazi hadi mkuruenzi ndani ya ofisi.
Hapa tunaona sasa mfumo imala unambana kuanzia mfanyakaz wa chini kabisa hadi mkurugenzi mwenye idara,ofisi,au kampuni hasa kwa mfano muda wa kufika kazini au mavazi bila ya ugomvi au kofokeana.
Kiongozi na mfanyakazi wanacheka na wanafulahi pamoja lakini mwisho wa siku mmoja wapo atabanwa na mfumo imara ana anaweza kutolewa au kutoka kazi kutokana na sheria (mfumo uliowekwa.
Mfano:-
Mkataba ,sheria(mfumo )unakwambia uingie kazini saa 2 kamili asubuhi utakuta daftari la kusini muda ulifika.
Ikifika saa saa2 na robo HR anachukua daftari anapiga mstar mwisho wa.kolamu ya wafanyakazi.wanaoingia hivyo wewe uliochelewa utakua nje ya mstari,HR haongei na wewe.
Mwisho wa mwezi tunakaa kikao cha.mwez tunakuona wewe ulikua nje ya msatar kalibu mala 10.
Maana yake mchelewaji sugu kazini.
HR anakuandikisha maelezo ya uchelewaji kama onyo.
Ukirudia mala 2 au 3 utakua umejifukuzisha
Ndio hivyohivyo kwa mkurugenzi nae akilewa madaraka kila siku anafika ofisini sa 4 na menejiment inasubili mafaili yalioko mezani.yasainiwe ili kazi ziende yeye hayupo maanayake nayeye anahatari ya kujihalibia hazi au kutaka kujifiris.
Hivyo MFUMO IMARA NI KATIBA IMARA INAYOWEZA KUMBANA KILA MMOJA KUANZIA MFANYAKAZI WA CHINI KABISA HADI MKURUGENZI, BIRA YA KUSUKUMANA.
Nakumbuka jk nyerere aliwahi kusema kwenye hotuba zake kua.
Katiba hii ya sasa akitokea mtu mwenye roho mbaya atawaburuza sana wananchi.
Hivi tujiulize hii leo Rais akisema hela zote zilizokuwemo benk kuu ni zangu na hata akizichukua hakuna wa kumshitaki.
Huu ni ujinanga na upuzi wa hali yajuu kabisa.
Ndio maana jiwe alijua amelewa madalaka hadi ananunua kuku au muhindi wa.kuchoma kwa elf50 hadi laki.
Na kugawa au kutumia hela vile anavyoona inafaa yeye kama yeye.