Naomba majibu tafadhali

Hammer11

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2024
Posts
1,518
Reaction score
2,174
Kwa mujibu wa quruan ni kwamba mwanaume wa akislamu akifa mwema anapewa wanawake bicra 72 hukoo peponi sada jee mwanamke akiwa mwema yeye atapewa wanaume 72? .
 
Kwa mujibu wa quruan ni kwamba mwanaume wa akislamu akifa mwema anapewa wanawake bicra 72 hukoo peponi sada jee mwanamke akiwa mwema yeye atapewa wanaume 72? .
72×4
Maana mwanamke mmoja anaweza shiliki tendo la ngono na wanaume Ata 10 kw wakati mmoja.
 
Kwa mujibu wa quruan ni kwamba mwanaume wa akislamu akifa mwema anapewa wanawake bicra 72 hukoo peponi sada jee mwanamke akiwa mwema yeye atapewa wanaume 72? .
Pilipili usiyoila yakuwashia nini?
 
Wanawake wa Kiislamu walianza kuhadaiwa walipoambiwa eti wanaweza kuolewa ukewenza hadi 4 kwa kichwa kimoja.

Hiyo si ndoa bali kuhalalisha zinaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…