MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Acha kufananisha Goli bora kutoka kwa mchezaji Bora Louis Miqussoine against vigoli vya ajabu ajabu vya kubahatisha.1. Je, kati ya Goli alilofunga Balama Mapinduzi dhidi ya Simba SC na alilofunga jana Jose Miqquissone dhidi ya Al Ahly ni lipi ni Tamu na la Kiufundi ambalo hata Benki ya Dunia ikikudai Mkopo wake inaweza Kukusamehe?
2. Je, anayeongoza katika Msimamo wa Ligi Kuu ya Tanzania na Yule anayeongoza Ligi ya Mabingwa Afrika katika Kundi lake ambalo ni la Kifo pia nani Mwanaume wa Shoka na Mvulana wa Mundu?
Nayasubiri sana majibu yenu Wandugu.
Ina maana jina la Gentamycin ndo hutolitumia tena? Kwa nini ulibadilisha jina ila ukaacha ubongo ule ule?1. Je, kati ya Goli alilofunga Balama Mapinduzi dhidi ya Simba SC na alilofunga jana Jose Miqquissone dhidi ya Al Ahly ni lipi ni Tamu na la Kiufundi ambalo hata Benki ya Dunia ikikudai Mkopo wake inaweza Kukusamehe?
2. Je, anayeongoza katika Msimamo wa Ligi Kuu ya Tanzania na Yule anayeongoza Ligi ya Mabingwa Afrika katika Kundi lake ambalo ni la Kifo pia nani Mwanaume wa Shoka na Mvulana wa Mundu?
Nayasubiri sana majibu yenu Wandugu.
Umeanza kuwa Hayawani ( Foolish ) lini?Ulivyochemka na post yako ya mwisho ungekaa kimya sasa hivi unapotaka kujikosha unazidi kutema pumba
Wakupuuzwa huyoUlivyochemka na post yako ya mwisho ungekaa kimya sasa hivi unapotaka kujikosha unazidi kutema pumba
Endi ze uzi iz clozd hiyaMimi nakujibu swali lako la pili kwanza kumbuka anaeongoza ligi kuu ni sababu moja tu inayomueka pale juu ni kua amecheza mechi nyingi kuliko huyu wa pili hivyo hiyo hampi sifa kuwa anaweza bali ni kazidi mechi za kucheza tu na hakuna lingine.
Huyu anaeongoza kundi la klabu bingwa Africa (kumbuka ni klabu bingwa najua unajua thamani yake tofauti na hiyo ligi kuu Tanzania bara) na kundi lenyewe lina miamba wa soka Africa kama As vita achana na Al Ahly ambae ni wa tatu duniani huku akiwa wa kwanza Africa, hivyo kuongoza kundi kama hili na huku mkiwa mmecheza mechi sawa (kumbuka hakuna aliezidi mechi) inatakiwa uwe kidume kweli kweli, dume la mbegu.
Asante
Ugonjwa wetu wa Simba na yanga kila mahali unalazimishwa1. Je, kati ya Goli alilofunga Balama Mapinduzi dhidi ya Simba SC na alilofunga jana Jose Miqquissone dhidi ya Al Ahly ni lipi ni Tamu na la Kiufundi ambalo hata Benki ya Dunia ikikudai Mkopo wake inaweza Kukusamehe?
2. Je, anayeongoza katika Msimamo wa Ligi Kuu ya Tanzania na Yule anayeongoza Ligi ya Mabingwa Afrika katika Kundi lake ambalo ni la Kifo pia nani Mwanaume wa Shoka na Mvulana wa Mundu?
Nayasubiri sana majibu yenu Wandugu.
Nikumbushe tu huyu alikuja na uzi wa kumponda Tripple C na kutoa majibu ya matusi balaa kumbe leo anaonyesha true colourWakupuuzwa huyo