mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 768
Bati umesema ft 3; fafanua, Corrugated au Makuti? Za Bongo au South? Kama ni Bongo za Kiboko, Alaf au Rhino, Gage ngapi 26, 28, 30 au 32? Rangi gani?
Hela ni ya mkopo aua ni yako?
piga decraa, 32ft by 26ft = sq ft 832
corrugated iron sheets (3 ft by 10 ft ) = sq ft 30, you will need 28 -32 mabati
1 pc = 1 ft by 4 ft = sq ft 4 = you will need 208 - 250 pcs ==========tzs 4,056,000/=
View attachment 133606
piga DECRAA, 32ft by 26ft = sq ft 832
Corrugated Iron sheets (3 ft by 10 ft ) = sq ft 30, you will need 28 -32 mabati
1 pc = 1 ft by 4 ft = sq ft 4 = you will need 208 - 250 pcs ==========TZS 4,056,000/=
View attachment 133606
piga DECRAA, 32ft by 26ft = sq ft 832
Corrugated Iron sheets (3 ft by 10 ft ) = sq ft 30, you will need 28 -32 mabati
1 pc = 1 ft by 4 ft = sq ft 4 = you will need 208 - 250 pcs ==========TZS 4,056,000/=
View attachment 133606
Utahitaji bati kama 45 kutosha nyumba yako hiyo
Utahitaji bati kama 45 kutosha nyumba yako hiyo
Bati umesema ft 3; fafanua, Corrugated au Makuti? Za Bongo au South? Kama ni Bongo za Kiboko, Alaf au Rhino, Gage ngapi 26, 28, 30 au 32? Rangi gani?
Hela ni ya mkopo aua ni yako?
mkuu hebu tupe maujanja ya kupiga hesabu mfano iwe na urefu wa 12 na upana wa 12.55 unaweza kutumia bati ngapi
Kumbe kununua bati mpaka hela za mkopo acha kutisha watu
Tunashindwa kujifunza kwa sababu ya kujump kwenye conclusion, ulitakiwa uulize kwa nini nimeuliza hivyo!
We utakuwa hujajenga ndio maana umepanick!
asante kiongozi...na mbao unaweza estimate total foot na type kama ni 3by2 or else?
mgongo wa tembo 2kwa4 =42 na 2kwa3 =33. mapaa manne 2kwa4 = 46 na 2kwa3 = 46
Mimi sio kama wewe unayehoji hela za mtu
kikubwa mleta mada anataka kujua ataezeka mabati mangapi na ndio swali lenyewe na hapa sio muda wa mtu kuhoji kapata wapi hela za mkopo au sisi hayo hayatuhusu kabisa muhimu ni kutoa ushauri kwa mleta mada
kusema unavyosema sijajenga siwezi kuanza kujenga hoja ya kumuonyesha mtu kuwa nimejenga ukitaka kujua kuwa nimejenga nipm uje ulale kwangu wewe ndio utanipa sifa na sio mimi kuanza kujisifia kama wewe mwenye akili za ulimbukeni