mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 768
nyumba imejengwa ina urefu wa 32ft by 26ft....imejengwa plane kwa maana ya kutokuwa na mikunjo ya nje...anyway naomba makadirio ya mbao na bati kwa ajili ya kupaua nyumba hii,bati standard za 3feet
