nyamalagala
JF-Expert Member
- Jun 5, 2016
- 744
- 673
Shukran sana mkuu. Sasa nimepata pa kuanzia. Ubarikiwe mno(((37 x 30.45) + (40 x 2)) / 70) x 4 = 68 pcs
Andaa Bati 68 za futi 10, Kama utatumia bati za kupima, nunua bati 34pc za futi 18
Mnaohitaji kufanyiwa makadirio ya ujenzi, tuwasilianeni
Assumption
- Upana wa bati 80cm+
- Urefu wa bati 300cm or 3m
- Overhang 40cm pande zote
- Mgongo wa tembo (mchoro wa paa haupo)
Mkuu we ni muhimu sana jukwaani, kwasababu umempa mwongozo mzuri(((37 x 30.45) + (40 x 2)) / 70) x 4 = 68 pcs
Andaa Bati 68 za futi 10, Kama utatumia bati za kupima, nunua bati 34pc za futi 18
Mnaohitaji kufanyiwa makadirio ya ujenzi, tuwasilianeni
Assumption
- Upana wa bati 80cm+
- Urefu wa bati 300cm or 3m
- Overhang 40cm pande zote
- Mgongo wa tembo (mchoro wa paa haupo)
Amin amin, tupo pamojaShukran sana mkuu. Sasa nimepata pa kuanzia. Ubarikiwe mno
Naomba unisaidie kufafanua hii hesabu mkuu(((37 x 30.45) + (40 x 2)) / 70) x 4 = 68 pcs
Natamani kujua ufafanuzi wa hii hesabu ndugu[emoji120](((37 x 30.45) + (40 x 2)) / 70) x 4 = 68 pcs
Andaa Bati 68 za futi 10, Kama utatumia bati za kupima, nunua bati 34pc za futi 18
Mnaohitaji kufanyiwa makadirio ya ujenzi, tuwasilianeni
Assumption
- Upana wa bati 80cm+
- Urefu wa bati 300cm or 3m
- Overhang 40cm pande zote
- Mgongo wa tembo (mchoro wa paa haupo)
Hizo ni taaluma za watu, hata hiyo 4 unayoiona hapo ina formula yake jinsi ya kuipata...hapo nimerahisisha tu ili mambo yasiwe mengi. Lazima uwe na basics navyo, vinginevyo utakuwa unakaririNaomba unisaidie kufafanua hii hesabu mkuu
Sawa mkuu fanya tu kunipa darasa kidogoHizo ni taaluma za watu, hata hiyo 4 unayoiona hapo ina formula yake jinsi ya kuipata...hapo nimerahisisha tu ili mambo yasiwe mengi. Lazima uwe na basics navyo, vinginevyo utakuwa unakariri