nyamalagala
JF-Expert Member
- Jun 5, 2016
- 744
- 673
Habari ndugu zangu. Leo nimekuja kwenu kuomba wajuzi wa mambo ya ujenzi.
Nina boma langu limenisotesha kulimaliza mpaka kozi 12.
Sasa hatua inayofuata ni kupaua. Hitaji langu ni kujua idadi ya bati zitakazotumika. Boma langu lina sifa zifuatazo:
1. Urefu futi 37
2. Upana futi 22.10
3. Vyumba vitatu (kimoja ni master vingine ni vya kawaida).
4. Kuna public toilet, jiko, stoo na dinning.
Karibuni sana kwa mwongozo.
Nina boma langu limenisotesha kulimaliza mpaka kozi 12.
Sasa hatua inayofuata ni kupaua. Hitaji langu ni kujua idadi ya bati zitakazotumika. Boma langu lina sifa zifuatazo:
1. Urefu futi 37
2. Upana futi 22.10
3. Vyumba vitatu (kimoja ni master vingine ni vya kawaida).
4. Kuna public toilet, jiko, stoo na dinning.
Karibuni sana kwa mwongozo.