Naomba maoni yako kuhusu ramani hii

Naomba maoni yako kuhusu ramani hii

yello masai

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2016
Posts
3,662
Reaction score
3,715
Ndugu mwana Jukwaa hili, ninajaribu kujenga picha kichwani ya kamjengo hata nikikajenga miaka mitatu ijayo.

Picha niliyonayo kichwani inaendana na ramani hii niliyojaribu kuchora hapa, japo roughly.

Naomba maoni yako, wapi parekebishwe, kipi kikae vipi.

Kutakuwa na choo cha nje pia.

Pia ukinipa makadirio ya gharama za msingi huu kwa maeneo ya Dar es Salaam nje kidogo ya mji na eneo tambalale kiasi nitashukuru sana.
View attachment 1928447


View attachment 1929226
 
Ok, ramani yako sio mbaya sana lakini vyoo vyako vimeziba eneo la dirisha lililotakiwa kuingiza mwanga kwenye kolido lako, kwa hiyo utalazmika kuweka taa kwenye kolido itakayokuwa inawaka masaa yote kuondoa giza, Pia mfumo hewa una shida kidogo labda uimprove kwa kuweka vigae vya kuingiza hewa maeneo ya juu ya madirisha!
Pia jaribu kuingia ndani kidogo ili kuweka kona ili kuongeza shepu ya sura ya nyumba!
Hope, wajuzi wa ramani wanaweza kukusaidia kuhusu vipimo na mabo mengine!
 
Ok, ramani yako sio mbaya sana lakini vyoo vyako vimeziba eneo la dirisha lililotakiwa kuingiza mwanga kwenye kolido lako, kwa hiyo utalazmika kuweka taa kwenye kolido itakayokuwa inawaka masaa yote kuondoa giza, Pia mfumo hewa una shida kidogo labda uimprove kwa kuweka vigae vya kuingiza hewa maeneo ya juu ya madirisha!
Pia jaribu kuingia ndani kidogo ili kuweka kona ili kuongeza shepu ya sura ya nyumba!
Hope, wajuzi wa ramani wanaweza kukusaidia kuhusu vipimo na mabo mengine!
Sawa mkuu. Hapo kumbe inatakiwa itafutwe namna ya kupata dirisha hapo kwenye korido.
Mwisho wa siku natafuta shape ya namna hii
IMG_20210824_105809.jpg
 
Dirisha la nini nyie? Kwanza ramani zote za kisasa corridor haipaswi kuwa mwanzo Hadi mwisho Kama hivyo
depending on artificial light and ventilation is totally failure in design.natural lighting and ventilation is recommended.pia hakuna aliyemwambia design ya hili lo corridor refu ndio design ya kisasa,ila yeye ameomba ushauri kupitia iyo ramani yake yenye hilo li corridor na sisi tumeshauri technical issues tu
 
Ndugu mwana Jukwaa hili, ninajaribu kujenga picha kichwani ya kamjengo hata nikikajenga miaka mitatu ijayo.

Picha niliyonayo kichwani inaendana na ramani hii niliyojaribu kuchora hapa, japo roughly.

Naomba maoni yako, wapi parekebishwe, kipi kikae vipi.

Kutakuwa na choo cha nje pia.

Pia ukinipa makadirio ya gharama za msingi huu kwa maeneo ya Dar es Salaam nje kidogo ya mji na eneo tambalale kiasi nitashukuru sana.



View attachment 1927665View attachment 1927664
Mi naona hii ya zamani sana, jaribu kucheki design nyingine
 
Ndugu mwana Jukwaa hili, ninajaribu kujenga picha kichwani ya kamjengo hata nikikajenga miaka mitatu ijayo.

Picha niliyonayo kichwani inaendana na ramani hii niliyojaribu kuchora hapa, japo roughly.

Naomba maoni yako, wapi parekebishwe, kipi kikae vipi.

Kutakuwa na choo cha nje pia.

Pia ukinipa makadirio ya gharama za msingi huu kwa maeneo ya Dar es Salaam nje kidogo ya mji na eneo tambalale kiasi nitashukuru sana.



View attachment 1927665View attachment 1927664
Hiyo sio ramani ni sketch sasa hukaichora kwa skeli ukipeleka kwenye vipimo halisi vya tape lazima viumane.
 
Ok, ramani yako sio mbaya sana lakini vyoo vyako vimeziba eneo la dirisha lililotakiwa kuingiza mwanga kwenye kolido lako, kwa hiyo utalazmika kuweka taa kwenye kolido itakayokuwa inawaka masaa yote kuondoa giza, Pia mfumo hewa una shida kidogo labda uimprove kwa kuweka vigae vya kuingiza hewa maeneo ya juu ya madirisha!
Pia jaribu kuingia ndani kidogo ili kuweka kona ili kuongeza shepu ya sura ya nyumba!
Hope, wajuzi wa ramani wanaweza kukusaidia kuhusu vipimo na mabo mengine!
Hii vipi mkuu
IMG_20210907_172653.jpg
 
Achana na kujichorea mwenyewe, tafuta mtaalamu akuchoree
Sasa hivi corridor za hivyo hakuna.
Sawa, hazipo huko kwingine yeye anataka kwenye nyum ba yake ziwepo!
Wataalamu wa kuchora nao wapigaji sana unakuta mtu anatoa kopy tu ya ramani ya nyumba nyingine lakini anakupiga 250k!
 
Sawa, hazipo huko kwingine yeye anataka kwenye nyum ba yake ziwepo!
Wataalamu wa kuchora nao wapigaji sana unakuta mtu anatoa kopy tu ya ramani ya nyumba nyingine lakini anakupiga 250k!
Sasa Kama anataka ziwepo kwenye nyumba yake, iweje aje kuomba ushauri humu?
 
Sasa Kama anataka ziwepo kwenye nyumba yake, iweje aje kuomba ushauri humu?
Nimeomba ushauri ili niweze kurekebishwa namna hiyo. Ndo maana nimejaribu kufanya marekebisho kidogo kama hii hapa chini.
Ikionekana inafaa nitaipeleka kwa mtaalam kwa maboresho zaidi maana hii ni kama sketch tu.

IMG_20210907_172653.jpg
 
Back
Top Bottom