Naomba mawazo yenu


siwezi kurudiana nae hata iweje.
aliyofanya yanatosha
tayri nina familia.

kikubwa nataka nimuondoe pale nyumbani kwetu basi hakuna zaidi ya hapo.
 
nikiwa huko nyumbani nilipata ujumbe toka kwa rafiki yake kuwa mchumba wangu ni mjamzito na mgonjwa sana hajiwezi. nikapigwa na butwaa sana.habari zikafika kwa ndugu zake nao wakaenda dar kumchukua na kwenda nae moshi.nami nikaelekea huko kumwona mgonjwa. daktari akasema ujauzito umeharibika na ni wa mapacha kwa hiyo solution ni kuitoa mimba ili kunusuru maisha ya mama mjamzito. ujauzito ulikuwa wa miezi 6.
Ulitakiwa kuachana nae kutoka hapa. Hakukua na haja kumsogelea msaliti.
I will be some what different from the rest of wana JF's advice. I wont call it wise advice but nitakushauri ufanye ujinga kidogo.
Go mkamtie, akikisha anapata mimba. Timka. Mzalishe. That is how she will pay for hurting you. Support the kid. Period!
 

kunji hapo hata hamkomeshi huyo mwanamke, mtoto ndio atapata tabu!!! malezi bora yatoka kwa wazazi wawili. Edson usijitie kitanzi kingine, huyo mtoto ndo atakufanya uactivate mawasiliano na huyo 'delila'.

hivi kwanza Edson hiyo mimba utamnywesha kwa cola au???
 
siwezi kurudiana nae hata iweje.
aliyofanya yanatosha
tayri nina familia.

kikubwa nataka nimuondoe pale nyumbani kwetu basi hakuna zaidi ya hapo.
pole sana, kuishi kwingi ni kuona mengi nadhani kwa maswahibu yaliyokupata utakuja kuwa mshauri mzuri sana kwa mambo haya ya mapenzi, kama alivyosema jamaa mmoja hapo nyuma na sie yalishatukuta kama hayo cha kufanya kwa sasa
1) weka roho yako nyeupe kabisa na umsamehe kwa yote aliyokufanyia na watu wote wanaokuzunguka walijue hilo(lakini sio kumrudia)
2)habari za kumtoa hapo nyumbani wewe sio zako wala hazikuhusu, hapo ni kwa wazazi wako, kwa hiyo wazazi wako ndio wenye uwamuzi cha muhimu ni kuwaambia wazazi wako kwamba wewe wasikushirikishe kwenye maamuzi yoyote yanayohusu huyo msichana kuwepo hapo kwao
3)usijalibu kabisa kufanya mawasiliano na huyo msichana, kwa mujibu wa hiki kisa chako huyo msichana wewe umempenda kuliko kiasi na inaonekana bado kuna ka element fulani ka upendo, sasa ukiruhusu mawasiliano nae kwa muda fulani, hutakuja tena kutuomba ushauri wa kumuacha Mpoland
 
siwezi kurudiana nae hata iweje.
aliyofanya yanatosha
tayri nina familia.

kikubwa nataka nimuondoe pale nyumbani kwetu basi hakuna zaidi ya hapo.

wewe ni mwanaume na una mji wako kwa sasa, mshauri huyo dada mambo yako ayalete kwako na mkeo na si kwa wazazi wako

Je umemshirikisha mwenzako kuhusu hili la huyo dada kuwepo kwenu?
 
kama wazee hawawezi. ungetafuta kibaunsa ukakilipa shilingi kadhaa kikaenda kurembea mikwaju kwa hako kabinti a.k.a miss trabul meka. ningekuwa bongo ningekwambia ni pm ningeenda kukarembea makwaju wizauti any malipo.
 
kama wazee hawawezi. ungetafuta kibaunsa ukakilipa shilingi kadhaa kikaenda kurembea mikwaju kwa hako kabinti a.k.a miss trabul meka. ningekuwa bongo ningekwambia ni pm ningeenda kukarembea makwaju wizauti any malipo.

hahaaa!!! hilo nalo neno!!!
 
duh!! leo mbu walizidi nini? sijakusikia kabsaaaaaaaa!!!!!!!
juzi nilimsifu carmel , waifu to be akaona,ilikuwa kasweswe. tulikuwa na kikao na magrendi parenti this asubuhi, kwasasa nashanglia ushindi , kawaif kametulia!. nje ya mada acha niuchune. isome haraka niidelete kabla magreti thinka wenye hasira hawajaniendea kwa mganga wa kienyeji.
 

sinaupendo nae.
simtaki
sitarudiana nae
nina familia tayari
 
Ila kuna wanawake wana uthubutu!
Edson, we mpotezee, cha msingi uko mbali na una mke na watoto. weka wazi hili kwa mkeo na umweleze msimamo wako na usiende home kwa kipindi hiki. tena ikibidi mpe waife number yake ampe msimamo wenu kwa upole.
 


hahaaa jamani weye???!!!! huyo waifu tu bi wako mtoe shaka mwambie carmel wetu mwenyewe alishawahiwa kitamboooooooooo!!!!
 
kama wazee hawawezi. ungetafuta kibaunsa ukakilipa shilingi kadhaa kikaenda kurembea mikwaju kwa hako kabinti a.k.a miss trabul meka. ningekuwa bongo ningekwambia ni pm ningeenda kukarembea makwaju wizauti any malipo.


KLOROKWINI!!!!!!! hapo kakangu umeniacha hoi.... hiyo mikwaju am just imagining....duh!!! tena bila malipo...yaani unalipizia mateso na madhalilisho ya Ed? mmm haya we.
 
 
hahaaa jamani weye???!!!! huyo waifu tu bi wako mtoe shaka mwambie carmel wetu mwenyewe alishawahiwa kitamboooooooooo!!!!

We ulikuwa matron wake?
 
hahaaa jamani weye???!!!! huyo waifu tu bi wako mtoe shaka mwambie carmel wetu mwenyewe alishawahiwa kitamboooooooooo!!!!

Afadhali uthibitishe bht, bibie akae na amani ya roho.
 
We ulikuwa matron wake?

shemeji kwani vipi, unajifanya hujui??? sasa waifu wa klorokwini ya nini apate heart attack kama ya ex-mkwe wa Edson na huku carmel wetu wala wazo na klorokwini hana!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…