haya mambo yapo, wengine yalishatukuta mazito sana, wanawake toka taliban wengi ni wafanyabiashara na wanaangalia faida!
usifanye jambo kwa kushauriwa na mtu, jiulize mambo yafuatayo:
Unampenda kiasi kwamba-
1. unaweza kuachana na mkeo kwa ajili yake?
2. Unaweza kuvumilia maumivu mengine baadaye?
Kama umejibu ndiyo kwenye moja kati ya maswali hayo, basi msamehe na mrudiane, kama hukujibu ndiyo, basi msamehe aendelee na maisha yake kivyake..MPOTEZEYE!
nikiwa huko nyumbani nilipata ujumbe toka kwa rafiki yake kuwa mchumba wangu ni mjamzito na mgonjwa sana hajiwezi. nikapigwa na butwaa sana.habari zikafika kwa ndugu zake nao wakaenda dar kumchukua na kwenda nae moshi.nami nikaelekea huko kumwona mgonjwa. daktari akasema ujauzito umeharibika na ni wa mapacha kwa hiyo solution ni kuitoa mimba ili kunusuru maisha ya mama mjamzito. ujauzito ulikuwa wa miezi 6.
Ulitakiwa kuachana nae kutoka hapa. Hakukua na haja kumsogelea msaliti.
I will be some what different from the rest of wana JF's advice. I wont call it wise advice but nitakushauri ufanye ujinga kidogo.
Go mkamtie, akikisha anapata mimba. Timka. Mzalishe. That is how she will pay for hurting you. Support the kid. Period!
duh!! leo mbu walizidi nini? sijakusikia kabsaaaaaaaa!!!!!!!duh!
pole sana, kuishi kwingi ni kuona mengi nadhani kwa maswahibu yaliyokupata utakuja kuwa mshauri mzuri sana kwa mambo haya ya mapenzi, kama alivyosema jamaa mmoja hapo nyuma na sie yalishatukuta kama hayo cha kufanya kwa sasasiwezi kurudiana nae hata iweje.
aliyofanya yanatosha
tayri nina familia.
kikubwa nataka nimuondoe pale nyumbani kwetu basi hakuna zaidi ya hapo.
siwezi kurudiana nae hata iweje.
aliyofanya yanatosha
tayri nina familia.
kikubwa nataka nimuondoe pale nyumbani kwetu basi hakuna zaidi ya hapo.
kama wazee hawawezi. ungetafuta kibaunsa ukakilipa shilingi kadhaa kikaenda kurembea mikwaju kwa hako kabinti a.k.a miss trabul meka. ningekuwa bongo ningekwambia ni pm ningeenda kukarembea makwaju wizauti any malipo.
juzi nilimsifu carmel , waifu to be akaona,ilikuwa kasweswe. tulikuwa na kikao na magrendi parenti this asubuhi, kwasasa nashanglia ushindi , kawaif kametulia!. nje ya mada acha niuchune. isome haraka niidelete kabla magreti thinka wenye hasira hawajaniendea kwa mganga wa kienyeji.duh!! leo mbu walizidi nini? sijakusikia kabsaaaaaaaa!!!!!!!
pole sana, kuishi kwingi ni kuona mengi nadhani kwa maswahibu yaliyokupata utakuja kuwa mshauri mzuri sana kwa mambo haya ya mapenzi, kama alivyosema jamaa mmoja hapo nyuma na sie yalishatukuta kama hayo cha kufanya kwa sasa
1) weka roho yako nyeupe kabisa na umsamehe kwa yote aliyokufanyia na watu wote wanaokuzunguka walijue hilo(lakini sio kumrudia)
2)habari za kumtoa hapo nyumbani wewe sio zako wala hazikuhusu, hapo ni kwa wazazi wako, kwa hiyo wazazi wako ndio wenye uwamuzi cha muhimu ni kuwaambia wazazi wako kwamba wewe wasikushirikishe kwenye maamuzi yoyote yanayohusu huyo msichana kuwepo hapo kwao
3)usijalibu kabisa kufanya mawasiliano na huyo msichana, kwa mujibu wa hiki kisa chako huyo msichana wewe umempenda kuliko kiasi na inaonekana bado kuna ka element fulani ka upendo, sasa ukiruhusu mawasiliano nae kwa muda fulani, hutakuja tena kutuomba ushauri wa kumuacha Mpoland
juzi nilimsifu carmel , waifu to be akaona,ilikuwa kasweswe. tulikuwa na kikao na magrendi parenti this asubuhi, kwasasa nashanglia ushindi , kawaif kametulia!. nje ya mada acha niuchune. isome haraka niidelete kabla magreti thinka wenye hasira hawajaniendea kwa mganga wa kienyeji.
kama wazee hawawezi. ungetafuta kibaunsa ukakilipa shilingi kadhaa kikaenda kurembea mikwaju kwa hako kabinti a.k.a miss trabul meka. ningekuwa bongo ningekwambia ni pm ningeenda kukarembea makwaju wizauti any malipo.
wewe ni mwanaume na una mji wako kwa sasa, mshauri huyo dada mambo yako ayalete kwako na mkeo na si kwa wazazi wako
Je umemshirikisha mwenzako kuhusu hili la huyo dada kuwepo kwenu?[/QUOTE]
nimemwambia anajua vizuri sana ila leo jion nikirud home ndo tutaliongea vizuri. ushauri wa humu jf ndo nautaka sana.
ameshangaa sana mama blanca na pia maana hakuwahi kusikia kitu kama hicho
hahaaa jamani weye???!!!! huyo waifu tu bi wako mtoe shaka mwambie carmel wetu mwenyewe alishawahiwa kitamboooooooooo!!!!
hahaaa jamani weye???!!!! huyo waifu tu bi wako mtoe shaka mwambie carmel wetu mwenyewe alishawahiwa kitamboooooooooo!!!!
mpwa kwani uongo?We ulikuwa matron wake?
We ulikuwa matron wake?
Afadhali uthibitishe bht, bibie akae na amani ya roho.