carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 265
Haya sasa, wifi mtu kasikia kilio, na anataka kumaliza kazi. huh!Nkoi nsezaye,unkema huyu hakufai kabisa hapo hakuna hata cha kujiuliza mara mbilimbili ulishaoa sasa unahangaika na X girl friend wa nini Neyo nchaga.Angalia mbele na mwambie aondoke nyumbani haraka sana kabla mimi sijatia timu kumfulumusha.Alikutenda na sasa bado anakufuata fuata ohooo akwende kule.Neyo nakolagwa sana yaya ukugegela gete mana ukungegela nyanda ukutula nsongo;ulihaya akutule nsongo?Pejaga gete neyo aondoke i dakika yeneye nalandika