pole sana, kuishi kwingi ni kuona ........., hutakuja tena kutuomba ushauri wa kumuacha Mpoland
mpwa kwani uongo?
eeh asije akapata mradhi ya moyo ati!!! sasa Iribini hataki nini hapo??
nimekugongea senks binamu. leo nacheza mitaa ya karibu karibu. ha haaaaaa, xpin mbona humpi edson ushauri? hakyanani kuna mambo Mungu huwa anaepushia mbali, mtu kama edson alitakiwa kuwa kaka yangu, yani ningemfungia safari, nikampakia nguo zake na kumpa nauli na kumsindikiza stand ya mabasi taraaratibu bila wazazi kupewa chance ya kusema chochote.Lol! Sore mpwa nilifikiri uko offline! Dah! Leo huchezi mbali! yaa! Dawa ya malaria anapaswa kujua kuwa mamaa la carmel ni muke ya mutu. Ndani ya strong and successiful marriage! Gonga senksi mamaa la carmel kama bado uko on line.
nimekugongea senks binamu. leo nacheza mitaa ya karibu karibu. ha haaaaaa, xpin mbona humpi edson ushauri? hakyanani kuna mambo Mungu huwa anaepushia mbali, mtu kama edson alitakiwa kuwa kaka yangu, yani ningemfungia safari, nikampakia nguo zake na kumpa nauli na kumsindikiza stand ya mabasi taraaratibu bila wazazi kupewa chance ya kusema chochote.
na weewe uliuliza kisharishari (kama ulitaka kunisuta vile loh)FYI papaa la carmel ni besti frendi wangu! Nimekataa nini? Nilitaka kujua tu kama ulikuwa matron wake.
nimekugongea senks binamu. leo nacheza mitaa ya karibu karibu. ha haaaaaa, xpin mbona humpi edson ushauri? hakyanani kuna mambo Mungu huwa anaepushia mbali, mtu kama edson alitakiwa kuwa kaka yangu, yani ningemfungia safari, nikampakia nguo zake na kumpa nauli na kumsindikiza stand ya mabasi taraaratibu bila wazazi kupewa chance ya kusema chochote.
na weewe uliuliza kisharishari (kama ulitaka kunisuta vile loh)
haka kaposti kamemfanya waif to bii anirikomendi kubakia jf wizauti any tatizo. sjui nimekugongea senksi? hebu cheki unijulishe bifoo kabla ya kulogi auti. lakini haka ka avatar ka carmel ni kachokozi ka mapigo ya moyo.Lol! Sore mpwa nilifikiri uko offline! Dah! Leo huchezi mbali! yaa! Dawa ya malaria anapaswa kujua kuwa mamaa la carmel ni muke ya mutu. Ndani ya strong and successiful marriage! Gonga senksi mamaa la carmel kama bado uko on line.
This is true story hakuna kilichotungwa hapo!Hii ni hadithi au ukweli?
Mi ningekuwa Edson kuna jambo moja tu ningekuwa linanisumbua kichwa kwa sasa: Kushughulikia kesi ya shambulio kali la mwilini lenye dhamirio la mauaji mahakama kuu! Edson stop crying homeboy. Go and kick her a.ss!
siwezi kurudiana nae hata iweje.
aliyofanya yanatosha
tayri nina familia.
kikubwa nataka nimuondoe pale nyumbani kwetu basi hakuna zaidi ya hapo.
haka kaposti kamemfanya waif to bii anirikomendi kubakia jf wizauti any tatizo. sjui nimekugongea senksi? hebu cheki unijulishe bifoo kabla ya kulogi auti. lakini haka ka avatar ka carmel ni kachokozi ka mapigo ya moyo.
pole sana mkuu na hongera kwa kumudu maisha na kufanikiwa licha ya huo mtihani.
niseme moja kwa moja kuwa huyo dada hana laana! hakuna itu kama laana hapa duniani, ana matatizo ya kisaikolojia tu, tiba yake ni ushauri nasaha, basi
ningekuwa bongo ningekusaidia kama ningeweza kukutana na huyo dada kwani angeondoka tu hapo kwenu kwa furaha na angeendelea kuwa rafiki wa kawaida wa familia yenu kwa maisha yake yote. angewaunganisha familia zenu zingekuwa kitu imoja na hata angeichukulia familia yenu kama yake nawe ungekuwa na amani na mkeo kama sasa au hata zaidi
angekuwa na furaha zaidi siku zake za mwisho kuliko za mwanzo.
hivi anagaza case kama hii wanaweza kumshauri pia au?
nipe namba ya huyo dada mimi ni dada yako hata kama si edina,nimwambie aondoe vigimbi vyake hapo nyumbani,halafu inaelekea wewe Edson ulikuwa unamuintateini ndo maana kadiriki hata kwenda nyumbani kwenu.kuna mdogo wangu nae amenipa ushauri kama huu kuwa nimtwagie baba simu then nimwambie wamuondoe hapo. dada yangu wa pekee edina yuko masomoni. kwanza hata mimi sitaki kuonana nae
deh deh deh! niko mwangalifu kwa kisayansi tunasema keyafuli, longi taim niliwahi kumtumia binti e mail kumbe na bwana wake ana paswedi . unaweza hii stori ukaimalizia wewe nini kiliendelea............ usisahau kuandika "the end " mwisho wa mchezo.Hehehe! LOL! Nimeiona senksi binamu. Ila mamaa la carmel nlishamwambiaga hako kaavatar katawasumbua sana wakware. Mpaka jana alinambia alishapata PMs 208! Vipi nawe ulishatest zali?