Haya sasa, wifi mtu kasikia kilio, na anataka kumaliza kazi. huh!Nkoi nsezaye,unkema huyu hakufai kabisa hapo hakuna hata cha kujiuliza mara mbilimbili ulishaoa sasa unahangaika na X girl friend wa nini Neyo nchaga.Angalia mbele na mwambie aondoke nyumbani haraka sana kabla mimi sijatia timu kumfulumusha.Alikutenda na sasa bado anakufuata fuata ohooo akwende kule.Neyo nakolagwa sana yaya ukugegela gete mana ukungegela nyanda ukutula nsongo;ulihaya akutule nsongo?Pejaga gete neyo aondoke i dakika yeneye nalandika
Mkuu tatizo la hako kaavatar ukikaangalia unakumbuka mambo mazuri si Unajua wakati wa kuchojoa Nguo hua unapewa mgongo yaani we acha tu!Hehehe! LOL! Nimeiona senksi binamu. Ila mamaa la carmel nlishamwambiaga hako kaavatar katawasumbua sana wakware. Mpaka jana alinambia alishapata PMs 208! Vipi nawe ulishatest zali?
deh deh deh! niko mwangalifu kwa kisayansi tunasema keyafuli, longi taim niliwahi kumtumia binti e mail kumbe na bwana wake ana paswedi . unaweza hii stori ukaimalizia wewe nini kiliendelea............ usisahau kuandika "the end " mwisho wa mchezo.
Carmel, huyu binti alimuumiza sasa anamfuata fuata ili amtie ulingoni then aje amuumize tena na tena.Wanaume ni dhaifu sana akimchekea chekea lazima watarudiana na hivi kaoa mzungu ndo basi wazazi nao wanaweza kumshauri amrudie kabisa.Ili kuondokana na hayo bora huyo binti aondokeHaya sasa, wifi mtu kasikia kilio, na anataka kumaliza kazi. huh!
Mkuu tatizo la hako kaavatar ukikaangalia unakumbuka mambo mazuri si Unajua wakati wa kuchojoa Nguo hua unapewa mgongo yaani we acha tu!
stop Perverting!🙄Mkuu tatizo la hako kaavatar ukikaangalia unakumbuka mambo mazuri si Unajua wakati wa kuchojoa Nguo hua unapewa mgongo yaani we acha tu!
kwani nani kasema huyo ndio mimi? atakepeleka watu machoni ni mchoraji wa picha au mimi? btw, inakuwaje ngumu kuangalia picha as picha bila kuihusisha na mambo mengine!Hahaha! Avatar ya mamaa la carmel inahitaji thread inayojitegemea! Lol! Mamaa la carmel utapeleka watu motoni kama yale maneno ya Yesu yata-apply: Ukitamani umeshazini naye tayari!
Am not spoil anything Madam that is the truth!!stop Perverting!🙄
kwani nani kasema huyo ndio mimi? atakepeleka watu machoni ni mchoraji wa picha au mimi? btw, inakuwaje ngumu kuangalia picha as picha bila kuihusisha na mambo mengine!
Get Off from Sexual NetworkandLive Good Life! One Love!!Am not spoil anything Madam that is the truth!!
NimekusomaGet Off from Sexual NetworkandLive Good Life! One Love!!
Nkoi nsezaye,unkema huyu hakufai kabisa hapo hakuna hata cha kujiuliza mara mbilimbili ulishaoa sasa unahangaika na X girl friend wa nini Neyo nchaga.Angalia mbele na mwambie aondoke nyumbani haraka sana kabla mimi sijatia timu kumfulumusha.Alikutenda na sasa bado anakufuata fuata ohooo akwende kule.Neyo nakolagwa sana yaya ukugegela gete mana ukungegela nyanda ukutula nsongo;ulihaya akutule nsongo?Pejaga gete neyo aondoke i dakika yeneye nalandika
waambie wazazi wako wasimuintertain hapo kwenu kabisa tena atoe shombo lake hapo.
au wamwache awasaidei kazi za nyumbani housegirl/boy naye apate kupumua for the time being!!!
ana bahati mi si dadako!!!!!!!
teh teh teh,bht bwana, wifii
anyway kwa uhakika hastahili kuwepo hapo kwenu kabisa,tena nashangaa kwa nn wazazi wako walimpokea na wanajua kuwa wewe umeshaoa unafurahia ndoa yako,