Naomba mawazo yenu

Haya sasa, wifi mtu kasikia kilio, na anataka kumaliza kazi. huh!
 
Hehehe! LOL! Nimeiona senksi binamu. Ila mamaa la carmel nlishamwambiaga hako kaavatar katawasumbua sana wakware. Mpaka jana alinambia alishapata PMs 208! Vipi nawe ulishatest zali?
Mkuu tatizo la hako kaavatar ukikaangalia unakumbuka mambo mazuri si Unajua wakati wa kuchojoa Nguo hua unapewa mgongo yaani we acha tu!
 
deh deh deh! niko mwangalifu kwa kisayansi tunasema keyafuli, longi taim niliwahi kumtumia binti e mail kumbe na bwana wake ana paswedi . unaweza hii stori ukaimalizia wewe nini kiliendelea............ usisahau kuandika "the end " mwisho wa mchezo.

Hahaha! Ngoja niishie hapohapo nisije nikatoka nje ya mada nikauvuruga urafiki wetu uliotukuka! LOL!
 
Haya sasa, wifi mtu kasikia kilio, na anataka kumaliza kazi. huh!
Carmel, huyu binti alimuumiza sasa anamfuata fuata ili amtie ulingoni then aje amuumize tena na tena.Wanaume ni dhaifu sana akimchekea chekea lazima watarudiana na hivi kaoa mzungu ndo basi wazazi nao wanaweza kumshauri amrudie kabisa.Ili kuondokana na hayo bora huyo binti aondoke
 
Mkuu tatizo la hako kaavatar ukikaangalia unakumbuka mambo mazuri si Unajua wakati wa kuchojoa Nguo hua unapewa mgongo yaani we acha tu!

Hahaha! Avatar ya mamaa la carmel inahitaji thread inayojitegemea! Lol! Mamaa la carmel utapeleka watu motoni kama yale maneno ya Yesu yata-apply: Ukitamani umeshazini naye tayari!
 
Mkuu tatizo la hako kaavatar ukikaangalia unakumbuka mambo mazuri si Unajua wakati wa kuchojoa Nguo hua unapewa mgongo yaani we acha tu!
stop Perverting!🙄
 
Hahaha! Avatar ya mamaa la carmel inahitaji thread inayojitegemea! Lol! Mamaa la carmel utapeleka watu motoni kama yale maneno ya Yesu yata-apply: Ukitamani umeshazini naye tayari!
kwani nani kasema huyo ndio mimi? atakepeleka watu machoni ni mchoraji wa picha au mimi? btw, inakuwaje ngumu kuangalia picha as picha bila kuihusisha na mambo mengine!
 
kwani nani kasema huyo ndio mimi? atakepeleka watu machoni ni mchoraji wa picha au mimi? btw, inakuwaje ngumu kuangalia picha as picha bila kuihusisha na mambo mengine!

Ngoja wakware watakujibu sasa hivi!
 

wabeja dada konina masala
 
Mkuu Edson, nimefuatilia sana mjadala wa mada yako. Kwasababu umeshapata mwandani mwingine na ukizangatia huyu bibie wa kitanzania alikufanyia mengi yasiyokuwa na utu basi jaribu kuchukua ushauri ambao wewe unauona kuwa uko sahihi kwako na kwa mwenzi uliyenaye kwa sasa. Angalia sana binadamu tunabadilika kama vinyonga na mapenzi sio sawa na kukoroga zege. Nina imani utachukua uamuzi wa busara kwenye hili kulinda familia yako ya sasa. All the best man
 
pole sana kaka kwa yote yaliyo kukuta ila thats what makes life...mie bwana nakushauri umsamehe ili wewe uwe huru then muandikie barua mueleze kilakitu course ukimuoa lazima atabadilika akiwa ndani na hapo ndio atakuua na presha na mawazo. endelea na maisha yako na wa poland usije kufanya makosa kama aliyofanya mwenzako then ukaja kujuta kwa kukosa mawazo
lowen
mbeya
 
waambie wazazi wako wasimuintertain hapo kwenu kabisa tena atoe shombo lake hapo.

au wamwache awasaidei kazi za nyumbani housegirl/boy naye apate kupumua for the time being!!!

ana bahati mi si dadako!!!!!!!

teh teh teh,bht bwana, wifii
anyway kwa uhakika hastahili kuwepo hapo kwenu kabisa,tena nashangaa kwa nn wazazi wako walimpokea na wanajua kuwa wewe umeshaoa unafurahia ndoa yako,
 
Oi!! brei me!!! ati iyo mutu natafuta nini tena apo kwenye nyumba ako, kwanyi iko na shida gani? si atafute ile kidume iliyompa mapacha?
kama ingekukwa kwetu, mimi iko chinja na panga kabisa.
pambafu sana iyo mutu ya kike
 
teh teh teh,bht bwana, wifii
anyway kwa uhakika hastahili kuwepo hapo kwenu kabisa,tena nashangaa kwa nn wazazi wako walimpokea na wanajua kuwa wewe umeshaoa unafurahia ndoa yako,

Zegere hao kwenye red kuna kaambiguiti hapo....

wazazi nao walikosea sana, kwanza wao si mtoto wao ndo aliawatambulisha kwa huyo mwanamke, na yaliyo tokea wameyashuhudia sasa wa nini alimwitikia hata hiyo hodi???

ningekuwa mama Edson....aaah she would have learned her lesson a hard way!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…