Naomba mbinu ili niweze kufahamu kingereza kwa ufasaha

Naomba mbinu ili niweze kufahamu kingereza kwa ufasaha

In whetever situation you are, try to speak in english, write in english and think in english, then, all other necessary conditions for you to be fluent in english, will follow. Try this procedures then you will be amazed with the compitency you will be acquired!

Says,

Mshua!
 
Hakikisha Unalala Vema Kwa Usasahi Huku Kichwa Na Kiwiliwili vimenyooka ukiwa umelala chali...

fanya yafuatayo kujifunza zaidi ya kingereza...

1:
hakikisha Unapendelea Kusikiliza Nyimbo,Tizama Habari Na Mafundisho Ya Dini,Movies Na Vichekesho Abavyo vipo katika lugha ya kingereza...

2:
Kila Ukiwa Na Wazo Liwaze Kingereza Hata Kama SIO neno sahihi unaloliwaza kingereza mradi ubongo wako unakubali hapa unawaza kitu fulani ila kingereza baada ya zoezi kwa siku kadhaa...

3:
anza kuiga vile walivyokuwa wakiongea au kuimba kwenye zile movies au videos ukiona umepatia patia... chagua maneno yanayokuja kuja kichwani ya kizungu na chukua dicctionary utizame ukipata maana haitoki tena fuatilia kwanza maneno yanayoletwa na ubongo ni rahisi kukariri...

4: kuiga waliovyo zungumza kutakupa wepesi wa kutamka maneno yale na usiyafiche tamka hata https://jamii.app/JFUserGuide you au damn mbele za watu wakikucheka unawaambia sijui nahitaji kujifunza watakupa tafsiri sasa ile point ya https://jamii.app/JFUserGuide you haitatoka ubongoni utakumbuka niliwahi kusema hivi nikachekwa kumbe ni hv ongea broken hovyo hovyo tu hata na watoto wa nusery itakusaidia sana kuhifadhi...

5:
ama mwisho kabisa na yenye power zaidi waweza kutumia lucid dreams iliyopo kwenye uzi wangu na ukaweza fundishwa kiroho zaidi na akili yako mwenyewe...

"Rakims"
 
Hakikisha Unalala Vema Kwa Usasahi Huku Kichwa Na Kiwiliwili vimenyooka ukiwa umelala chali...

fanya yafuatayo kujifunza zaidi ya kingereza...

1:
hakikisha Unapendelea Kusikiliza Nyimbo,Tizama Habari Na Mafundisho Ya Dini,Movies Na Vichekesho Abavyo vipo katika lugha ya kingereza...

2:
Kila Ukiwa Na Wazo Liwaze Kingereza Hata Kama SIO neno sahihi unaloliwaza kingereza mradi ubongo wako unakubali hapa unawaza kitu fulani ila kingereza baada ya zoezi kwa siku kadhaa...

3:
anza kuiga vile walivyokuwa wakiongea au kuimba kwenye zile movies au videos ukiona umepatia patia... chagua maneno yanayokuja kuja kichwani ya kizungu na chukua dicctionary utizame ukipata maana haitoki tena fuatilia kwanza maneno yanayoletwa na ubongo ni rahisi kukariri...

4: kuiga waliovyo zungumza kutakupa wepesi wa kutamka maneno yale na usiyafiche tamka hata https://jamii.app/JFUserGuide you au damn mbele za watu wakikucheka unawaambia sijui nahitaji kujifunza watakupa tafsiri sasa ile point ya https://jamii.app/JFUserGuide you haitatoka ubongoni utakumbuka niliwahi kusema hivi nikachekwa kumbe ni hv ongea broken hovyo hovyo tu hata na watoto wa nusery itakusaidia sana kuhifadhi...

5:
ama mwisho kabisa na yenye power zaidi waweza kutumia lucid dreams iliyopo kwenye uzi wangu na ukaweza fundishwa kiroho zaidi na akili yako mwenyewe...

"Rakims"

Inaelekea Rakims unamadini ya kufa mtu, ila nahitaji unieleze kidogo mafaniko uliyoyapata hasa kimahusiano na kiuchumi!
 
Inaelekea Rakims unamadini ya kufa mtu, ila nahitaji unieleze kidogo mafaniko uliyoyapata hasa kimahusiano na kiuchumi!

Nikikuhadithia Mafanikio Yangu Wewe Hayatakufaa Maana Kila Mtu Na Goals & Desire Zake Nikikwambia Mfano Nikikuangalia Nakuskia Unayowaza ItakuaSaidia Nini Wakati Wewe Una Mood Ya Kichaga Mkuu?


"Rakims"
 
Nikikuhadithia Mafanikio Yangu Wewe Hayatakufaa Maana Kila Mtu Na Goals & Desire Zake Nikikwambia Mfano Nikikuangalia Nakuskia Unayowaza ItakuaSaidia Nini Wakati Wewe Una Mood Ya Kichaga Mkuu?


"Rakims"

halafu jina lako lina vairas maana nikiposti naona huu moshi moshi <b <b
 
Njia rahisi na iliyo salama kujifunza na kuongea kiingereza fresh ni kutumia muda mwingi kama sio muda wako wote kuongea na wanaojua kiingereza bila kujali makosa utayofanya. mfano nyumbani au shule (boarding ). They say practice makes perfect.
Otherwise utakuwa unapiga mbizi kwenye lami mkuu.
 
Back
Top Bottom