Mama Nehemiah
JF-Expert Member
- Sep 9, 2018
- 244
- 439
Wakuu naomba maarifa ya jinsi ya kuwazuia vicheche maana wanaingia bandani kwa kuku wanakula mayai.
Mahali ninapoishi kuna uzio wa senyeng'e so wanaingia mahali kuku hutaga na kuchukua mayai.
Mbwa kwa sasa siwezi kufuga naombeni njia njingine tafadhali.
Mahali ninapoishi kuna uzio wa senyeng'e so wanaingia mahali kuku hutaga na kuchukua mayai.
Mbwa kwa sasa siwezi kufuga naombeni njia njingine tafadhali.