Sic March
JF-Expert Member
- Mar 2, 2019
- 690
- 906
Habari wanaJF, heri ya mwaka mpya japo mwaka unaenda kasi sana huwezi amini leo ni weekend dah, tuachane na hayo.
Naombeni msaada maana huyu mdai wangu kawa sugu na misemo ya kila aina.
Hebu fikria unadai mtu anakwambia kauli kama hii "Najua unanidai lakini usinidai hivyo mimi nikipata nitakupa maana hata mimi matatzo yangu sijayasajili BASATA au COSOTA kwamba ni yangu tu pekee".
Hivi ni mimi pekee ndio nakumbana na kasumba za kudai au mpaka nyie wenzangu na hizi kauli huko kwenu vipi mnapewa zipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naombeni msaada maana huyu mdai wangu kawa sugu na misemo ya kila aina.
Hebu fikria unadai mtu anakwambia kauli kama hii "Najua unanidai lakini usinidai hivyo mimi nikipata nitakupa maana hata mimi matatzo yangu sijayasajili BASATA au COSOTA kwamba ni yangu tu pekee".
Hivi ni mimi pekee ndio nakumbana na kasumba za kudai au mpaka nyie wenzangu na hizi kauli huko kwenu vipi mnapewa zipi?
Sent using Jamii Forums mobile app