Naomba mchanganuo wa gharama za ujenzi wa nyumba ya chumba kimoja

Naomba mchanganuo wa gharama za ujenzi wa nyumba ya chumba kimoja

Habari za wakati huu ndugu zangu.

Naombeni kujua MCHANGANUO WA GHARAMA za ujenzi wa nyumba ya chumba kimoja master na sebule kiwanja tayari Ninacho tofali Ninazotarajia kitumia Ni za cement (mchanga mtupu+cement)

Natanguliza shukrani zangu.
kwa nyumba ya mita 11 kwa 7
1.Blocks si chini ya 1400 (inategemea na kozi za msingi utakaojenga) wastani hizo 400 zote zinaingia kwenye msingi
2.Cement mifuko 25 kutumika pia katika beam la lenta.
3.Nondo mm12 si chini ya 20
4.Bati si chini ya 20
vingine wataongezea wataalamu
 
Msingi laki tatu boma 250,000 lenta 150,000 au kwa kila tofali TZS 500+ 200,000 ya usimamizi
huyo fundi gharama sana,yaani kusimamisha chimba na sebule ifike 700k?
kujenga itakuwa ngumu aisee
 
huyo fundi gharama sana,yaani kusimamisha chimba na sebule ifike 700k?
kujenga itakuwa ngumu aisee
Mkuu,hii ni kazi,au unataka fundi wa bei chee ambaye anaishia kuiba cement etc mradi apate hela?Unafikiri ni Choo anajenga?
 
ndugu umekadiriaje hapo wakati hata vipimo hajatoayawezekana hizo tofali zikawa za msingi tu zikabaki kidogo.
nondo hapo pia utata
Mkuu,unafikiri nimekadiriaje?Hio inaitwa ceteribus peribus au kwa ufupi ni assumptions/makadirio na sio actual bill of quantity.Vipi fundi una mudi ya kubishana na engineer?Utata wa kwenye nondo ni upi?
 
Mkuu,unafikiri nimekadiriaje?Hio inaitwa ceteribus peribus au kwa ufupi ni assumptions/makadirio na sio actual bill of quantity.Vipi fundi una mudi ya kubishana na engineer?Utata wa kwenye nondo ni upi?
sawa engineer....
sipo hapa kubishana,nipo hapa kupeana/kubadilishana ujuzi/uelewa,so kama upo hapa kubishana ndugu engineer mimi sipo huko.kwaheri
 
sawa engineer....
sipo hapa kubishana,nipo hapa kupeana/kubadilishana ujuzi/uelewa,so kama upo hapa kubishana ndugu engineer mimi sipo huko.kwaheri
Good then,unachofanya unaweka estimates zako.The Boss ataangalia zipi zinamfaa anakupa kazi.Kama unaona kuna kitu kimepungua basi tunaambiana
 
Chumba sebule,Jiko na Choo,Ukubwa wa Chumba ni futi 10.Sina Picha yake.Ila kama una pesa iko ambayo unaweza kumalizi na kuhamia kwa gharama ya Milioni 9.5.Tuwasiliane PM kama utapenda.Imeshaezekwa na Madirisha,Iko Gezaulole Kigamboni
Bado iko
 
Back
Top Bottom