Naomba mkopo wa 30,000, nitarudisha baada ya siku tatu

Naomba mkopo wa 30,000, nitarudisha baada ya siku tatu

Status
Not open for further replies.
Pole sana ora. Yote ni mapito hapa chini ya jua.

-Kaveli-
 
nimekopahuko
niko katika marejesho
We nae punguza hizo kopa kopa bwana tena unakopa vijiela vidogoo si bora ukope kubwa utatue tatizo lako lote ubaki ubadaiwa sehemu moja kuliko hivi
 
Wakijitokeza ishirini utaweza kuwalipa wote baada ya hizo siku mbili, au unatafuta hela ya sikukuu...
 
Mpesa, tigo, airtel money wanakopesha vizuri tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom