Naomba mkopo

Naomba mkopo

PrincessLove

Member
Joined
Jul 19, 2014
Posts
22
Reaction score
0
Naomba mtu anayeweza kunikopesha sh 250,000 kwa lak 350,000 namrudishia mwisho wa mwez wa 1 tafadhal jaman ninashida
 
Kina Dada mmefumka siku hizi,naona hamjambo.
Yaani kama mnaambiana vile.
Usije kuwa umekuja na Avatar nyingine
 
Hela unataka kwa ajili ya nini my dear. Masharti ya dhamana yanahusika
 
Laki mbili na nusu inatosha matibabu?
Una plan gani ya jinsi ya kulipa huo mkopo?

Pole sana
Mama yng anauvimbe tumboni hvyo nahitaj pesa kwa ajil ya matibabu yake,dhamana nitaweka vyet vyako vyote muhmu
 
Inaweza tosha na atakama haitotosha itakuwa imepunguza tatzo,na plan yng ni kuilipa kwa mara moja mwisho wa mwez wa 1
 
Back
Top Bottom