Mimi nilipata div 4 point 26 o-level masomo ya sayansi nilipata hivi
Phy-d
Chem-c
Bios-c
Nikaambiwa kwa matokeo yako hayo unaweza soma diploma ya co.
Je, nauliza hivi nikifaulu vizuri hiyo diploma naweza kukubaliwa kusoma digrii ya MD kwa matokeo hayo ya form 4 ingawa diploma nina matokeo mazuri msaada jamani
Phy-d
Chem-c
Bios-c
Nikaambiwa kwa matokeo yako hayo unaweza soma diploma ya co.
Je, nauliza hivi nikifaulu vizuri hiyo diploma naweza kukubaliwa kusoma digrii ya MD kwa matokeo hayo ya form 4 ingawa diploma nina matokeo mazuri msaada jamani