wakulichomeka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 517
- 142
Kuna kitu kinaitwa Ngekewa, kila mara nasikia eti fulani ana Ngekewa. Nimejiuliza maswali mengi sana sipati jibu, Ngekewa ni nini? Hebu nisaidieni Ngekewa ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunakitu kinaitwa ngekewa kilamara nackia eti furani anangekewa nimejiuliza maswali mengi sana spati jibu ngekewa nini hebu nisaidieni ngekewa ninini!!?
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
NgekewaKunakitu kinaitwa ngekewa kilamara nackia eti furani anangekewa nimejiuliza maswali mengi sana spati jibu ngekewa nini hebu nisaidieni ngekewa ninini!!?
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Kuna kitu kinaitwa Ngekewa, kila mara nasikia eti fulani ana Ngekewa. Nimejiuliza maswali mengi sana sipati jibu, Ngekewa ni nini? Hebu nisaidieni Ngekewa ni nini?
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Na mimi siyo mtaalamu wa kiswahili na pia kiingereza. Sijui kama ngekewa ni neno fasaha la kiswahili lakini kwa jinsi ambavyo limekuwa likitumika umaanisha bahati. Kwa kiingereza ni "luck" (badala ya lucky, kwa sababu lucky ni adjective). Pia maneno kama "chance" na "fortune" yanaweza kutumika. Pia kuna neno "kismat" linaweza kutumika japo naona pengine lina asili ya uarabuni na katika kiingereza utumika kwa mara chache. Sasa kuhusu kazi ya ngekewa hapo naona sina jibu la uhakika japo kwa haraka haraka naweza kusema kwamba kazi yake ni kuleta neema kwa aliyepata hiyo ngekewa.Ngekewa ni bahati na kwa kiingereza inaitwa lucky.
Ngekewa: kule kwetu tunawaita Kidungu maria. Ni mnyama fulani mwenye muonekano wa Panya kwa sura ila umbile ni kama Nungu nungu anavimiba. Kuhusu kazi yake yeye ni kula tu ndio kilichomleta Duniani labda useme kazi yako wewe Binadamu kwake ni ipi? Kwa kiiengereza sijui wanaitwaje maana sijawahi kufika kule, kwanza sidhani kama wapo kule.