CleverKING
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 8,502
- 25,470
Dah!!Ngekewa, ukitaka kujua jinsi inavyofanya kaz, Nenda lindi wilaya ya liwale ulizia shm moja inaitwa "NGENDE" then uje ulete mrejesho usituumize kichwa hapa, Magu kashayavuruga haya maisha kbs unywaj wa bia umekuwa adim xana.
Hahaaaaa wewe msafiri kiu imekukamata
NGENDE kunanitesa mimi,nimepewa sharti la kupeleka shilingi moja kila mwisho wa mwaka,sasa naona natumia gharama kubwa ya mafuta kuliko mzigo "shilingi"ninaopeleka
Hebu funguka vzr mkuu na hilo Sharti lakupeleka Shilingi nivipi...NGENDE kunanitesa mimi,nimepewa sharti la kupeleka shilingi moja kila mwisho wa mwaka,sasa naona natumia gharama kubwa ya mafuta kuliko mzigo "shilingi"ninaopeleka
unapoenda ngende kupata unachotaka kwa njia ya maajabu,kama ilivyo makete(wakinga wanajua),nikuwa:Hebu funguka vzr mkuu na hilo Sharti lakupeleka Shilingi nivipi...
Ha ha haaaa....pole mkuu sasa Shilingi 1 kuipata sini mtihani huo? na ukishasaini Mkataba ndio basi hakuna kubadilisha ikiwa ulishindwa kufanikisha ya mwanzo....unapoenda ngende kupata unachotaka kwa njia ya maajabu,kama ilivyo makete(wakinga wanajua),nikuwa:
unaulizwa unachotaka,na unasema,labda kuwa tajiri,kupata nafasi kubwa(madaraka)mahalinkama kazini kwenye mambo ya kijamii na kadhali.
unapewa mashari ya mambo ya kufanya ukiwa pale NGENDE(LIWALE),ukishakamilisha unaambiwa useme utaleta sadaka gani ngende ambayo ni maramoja kwa mwaka na hawakupangii kiasi,ila ni lazima uitekeleze.
usipotekeleza wanajukumbusha kw matukio,mfano wanamuua mwanao kipenzi,au nyumba yako ya masaki inayokupa ela nyingi ndo inaungua.
mimi nichagua kupeleka shilingi moja kwa mwaka,basi natumia zaidi ya milioni na muda mwingi maramoja kwa mwaka kukamilisha hilo
vp kama umepata matatizo mfano ajali mbaya ya kukuweka kitandani hata zaidi ya mwakaunapoenda ngende kupata unachotaka kwa njia ya maajabu,kama ilivyo makete(wakinga wanajua),nikuwa:
unaulizwa unachotaka,na unasema,labda kuwa tajiri,kupata nafasi kubwa(madaraka)mahalinkama kazini kwenye mambo ya kijamii na kadhali.
unapewa mashari ya mambo ya kufanya ukiwa pale NGENDE(LIWALE),ukishakamilisha unaambiwa useme utaleta sadaka gani ngende ambayo ni maramoja kwa mwaka na hawakupangii kiasi,ila ni lazima uitekeleze.
usipotekeleza wanajukumbusha kw matukio,mfano wanamuua mwanao kipenzi,au nyumba yako ya masaki inayokupa ela nyingi ndo inaungua.
mimi nichagua kupeleka shilingi moja kwa mwaka,basi natumia zaidi ya milioni na muda mwingi maramoja kwa mwaka kukamilisha hilo
Pesa hizi zina mambo sana....kuna Mkinga 1 anamilikia Hotel na biashara za maana ikiwa ni pamoja na pale Msamvu kuna Hotel zake ila sasa Ukifanya nae biashara hata kama ni saa12 Asubuhi basi tegemea Malipo saa3 ..usiku ikipita hiyo time basi hadi kesho wanasema Jamaa akikaribia kupiga HELA anavimba miguu...yote basi anapiga mzigo wa MaanaNdiyo utaratibu,nilienda makete kutaka hela za kikinga lakini kule nikaona uhai utakuwa mfupi.
maana wanakuambia uchague kuku kutoka zizini,kisha unaonyeshwa gunia la mtama,unachota unamwaga.
kadri kuku atakavyo donoa na kumeza zile punje ndiyo idadi ya miaka yako ya utajiri na maisha.
Kuku akidonyoa na kuwika wakati amemeza,basi utatoa kafara ya mnya mwisho wa mwaka.
Akidonyoa na kunywa maji basi kafara yake ni binadamu maramoja kwa mwaka au unaweza kuwatoa watano kwa mpigo ili upumzike miaka mitano
ahsante sana, kuna siku nilikaa nje muda wa saa 11 asubuhi ghafla nikaona wanyama kama ulivyowaelezea wakikatiza walikua kama kumi hiviNgekewa: kule kwetu tunawaita Kidungu maria. Ni mnyama fulani mwenye muonekano wa Panya kwa sura ila umbile ni kama Nungu nungu anavimiba. Kuhusu kazi yake yeye ni kula tu ndio kilichomleta Duniani labda useme kazi yako wewe Binadamu kwake ni ipi? Kwa kiiengereza sijui wanaitwaje maana sijawahi kufika kule, kwanza sidhani kama wapo kule.
sasa nikifika pale naelekea kwa nani? naomba location tafadhali.unapoenda ngende kupata unachotaka kwa njia ya maajabu,kama ilivyo makete(wakinga wanajua),nikuwa:
unaulizwa unachotaka,na unasema,labda kuwa tajiri,kupata nafasi kubwa(madaraka)mahalinkama kazini kwenye mambo ya kijamii na kadhali.
unapewa mashari ya mambo ya kufanya ukiwa pale NGENDE(LIWALE),ukishakamilisha unaambiwa useme utaleta sadaka gani ngende ambayo ni maramoja kwa mwaka na hawakupangii kiasi,ila ni lazima uitekeleze.
usipotekeleza wanajukumbusha kw matukio,mfano wanamuua mwanao kipenzi,au nyumba yako ya masaki inayokupa ela nyingi ndo inaungua.
mimi nichagua kupeleka shilingi moja kwa mwaka,basi natumia zaidi ya milioni na muda mwingi maramoja kwa mwaka kukamilisha hilo
mkuu ngende hawajui ajali,wanajua rehesho tuvp kama umepata matatizo mfano ajali mbaya ya kukuweka kitandani hata zaidi ya mwaka
Nenda tu mkui,wakiona gari au mgeni chakwanza wanakuuliza umekuja kuchukua mali?sasa nikifika pale naelekea kwa nani? naomba location tafadhali.
sawa mkuu, kuna sadaka ya damu?Nenda tu mkui,wakiona gari au mgeni chakwanza wanakuuliza umekuja kuchukua mali?
utaelekezwa
ukifika utapokelewa Hornetsasa nikifika pale naelekea kwa nani? naomba location tafadhali.
Kuna kitu kinaitwa Ngekewa, kila mara nasikia eti fulani ana Ngekewa. Nimejiuliza maswali mengi sana sipati jibu, Ngekewa ni nini? Hebu nisaidieni Ngekewa ni nini?
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Jamii ya panya mkuu sio sunguraNgekewa (Capybara) ni aina ya mnyama jamii kama ya sungura lakini ni mkubwa kwa umbo, ni mnyama ambaye ana bahati ya kupendwa sana na wanyama tofauti hatari na wasio hatari, anaweza kukaa na anakonda, simba, nyani, chui na wasimfanye kitu, yaani wanakuwa kama mateja vile wawapo vijiweni.
Ndo maana unakuta mtu anakwambia una ngekewa, wanamrefer