Naomba mnifundishe namna ya kupush biashara, na jinsi ya kumpata wazo la biashara kwa sababu nina woga wa maisha

Naomba mnifundishe namna ya kupush biashara, na jinsi ya kumpata wazo la biashara kwa sababu nina woga wa maisha

Twins love

Senior Member
Joined
Jan 27, 2022
Posts
114
Reaction score
160
Nimekuwa nikiwa na uthubutu wa kuanzisha vibiashara vidogo vidogo tangu nimalize chuo na kukosa ajira.

Natamani nifanye kabiashara hata ka mtaji mdogo sana lakini sijui akili yangu ,imefocus katika kazi gani ,mbali na professional yangu, naomba watu wenye uwezo wa kushauri na kumfanya mtu aweze kujua n kazi gani inaweza kumfaa, au orodha ya kazi ambazo ukipush mbali utakuwa mbali ,njooni katika uzi huu tupeane elimu
 
Back
Top Bottom